Sifa za Binti wa kimeru

Status
Not open for further replies.
Go for her, ila usiwe legelege...

Hawana maneno mingi kama hawa wa kiswahili, ni wacha Mungu na wachapakazi sana.
hapo bolded, legelege wa kivipi mkuu, nifafanulie
 
mkuu wasing'isi ndio kina nani hao?
 
Waaminifu,wapole,wachapakazi ila ukiwazingua imekula kwako aisee!
 
Wabaguzi kama wewe si kabila lao, wakorofi na rahisi kukasirika, wasiri sana, waaminifu kwenye ndoa zao, hawataki muingiliano wa makabila mengine na kuoa kwao kama si Mmeru watakudharau sana, na wakikasirika waweza kufanya lolote baya
Asanteni sana wadau, napata changamoto kwa kweli ambzo niazifanyia kazi
 
Niliwahi kuwa naye mmoja wakati niko chuo, alikuwa mpiganaji kweli, anasimamia mawazo yake tu, nilifika mahala nikatua mizigo mwnyewe maana alikuwa ana tekeleza aliyoona yy yanafaa. Baadaye kamrudia jamaa yake wa meru
 
Ni wazuri,wachapakaz na wakarimu kuthibitisha hili mkifunga harus watawapa kila zawadi-bati,tofal,mifugo,saruji na hata vyombo vya ndani*ila ikitokea mmeachana watadai zawad zote hata kama ulizawadiwa kijiko utarudisha,ulipewa tofal watabomoa nyumba watoe tofali zao.gud luck.
 
asanteni sana wadau, napata changamoto kwa kweli ambzo niazifanyia kazi

Baada kufunga nae ndoa na kubahatika kupata watoto, kama wakiwa wa kike ujue lazima watatolewa kile kidude
 
Singisi ni shida
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…