]Wana maadili,kifupi wife material ila wana hasira sana ,wanajiamini,wakorofi ,ukimkosea anaweza akakuchomea nyumba ni hvyo hao ni mashost zang sana[/QUOTE]
nakubaliana nawe on positive point above.. nyongeza ukimpata bint wa kimeru mafanikio kimaisha yako mlangoni ww tu uyazuie kwan ni wachapakazi hodari sio wavivu. mpende mjali pesa weka mezani mpange bajet pamoja utafaidi sana ndoa..
kwasha nkwe