mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,316
kwanini asikosee?So na huyu mshkaji hapo juu nae alimsikia Nyerere vibaya sio?
alikuwa mhariri wake ama?
kwanini asikosee?So na huyu mshkaji hapo juu nae alimsikia Nyerere vibaya sio?
Nasikia hajakata rufaa ila naona dude limeogopwa kupelekwa tena kule south kwa kisingizio cha xenophobia hahah,mkulima ametisha sana aisee.kwani mkulima ameshakata rufaa.
wabongo kwa shobo.
kwanini asikosee?
alikuwa mhariri wake ama?
Na bila ya kumsahau Yahaya Jammeh.
Yaani ni ajabu ya watu kuwa na mfanano kiasi hiki huku wakiwa umbali kiasi kile. Nadhani tabia hizi zimo kwenye DNA. Kuna watu wanazaliwa pengine pakiwa na kasoro fulani katika muundo wa DNA zinazohusisha tabia.
Kutaka kupendwa, ukatili na kujigeuzageuza kitabia wawapo sehemu za watu; kuonekana wapenda dini na kutaka waonekane wao ni wazalendo zaidi na kwa hiyo raia wengine wote waige mifano ya uzalendo kutoka kwao.
Fikra hizi zinanipeleka kwenye 'movie' ya "A Beautiful Mind". Hawa watu ni halisi na uchizi wao au umashuhuri wao unatokana na DNA zao.
La ajabu ni kwamba vijana kama huyo aliyeandika hayo tayari tunao, hata hapa JF. Nikitaka ntaorodhesha, lakini, aah, acha tu!
La ajabu ni kwamba vijana kama huyo aliyeandika hayo tayari tunao, hata hapa JF. Nikitaka ntaorodhesha, lakini, aah, acha tu!
Mkuu Hili tatizo la kumuona Hana madhara tangu mwanzo ndio limetufikisha HapaAfadhali hata Hitler alikua dikteta kamili, kuna chizi mmoja yeye ni "dikteta uchwara" lakini anapenda kusifiwa mno na mafisi wote hata wale waliookotwa jalalani wanasifu hata wakati wa kuomboleza!
Baba wa taifa aliyaona haya.Nyerere alisema ukiona unasifiwa sana jua unakaribia kua dictator.
Baba wa taifa aliyaona haya.
Pambana na hali yako.Huyu wa kwetu sio dikteta kama hao kina Eyadema na Mzee wa Cameroon, anainyoosha nchi ambayo iliufuga uzembe na ufisadi kwa miaka kama thelathini ya uhai wa taifa hili.
Huyu wa kwetu ataondoka 2025 Mungu akitujalia uhai, tulimhitaji mtu wa aina yake, ambaye anayo hulka isiyowapendezesha watu wanaopenda mazabe na maisha ya uonevu unaotokana na jeuri ya pesa.
Huyu ataongoza ndani ya muda wa kikatiba, kinachohitajika kufanywa na baadhi yetu ni kuondoka na fikra za malalamiko, maisha ni mafupi na muda huwa hauendi mapumziko.
Utasikia kwenye awamu hii tumetekeleza uchumi umepanda kwa 8%.
Tumetekeleza
Ndege
Daraja
Bara bara.
Ajira.
Sasa hizo ajira sasa ukija kitaa ulizia majibu utakayo yapata.
Hata Mwalimu Nyerere alisema, 'ukiwa kiongozi halafu ukaona kila mmoja anasema maneno ya kukusifu tu, ujue umekuwa dikteta'. Lazima uwe.mjinga hasa kuamini kuwa wewe ni mzuri sana kiasi cha kusifiwa na kila mtu.
Kwa hiyo unataka kusema kuwa wanawake wote ni madikteta maana hupenda sifa hizo
kwani mkulima ameshakata rufaa.
wabongo kwa shobo.
Huyu wa kwetu sio dikteta kama hao kina Eyadema na Mzee wa Cameroon, anainyoosha nchi ambayo iliufuga uzembe na ufisadi kwa miaka kama thelathini ya uhai wa taifa hili.
Huyu wa kwetu ataondoka 2025 Mungu akitujalia uhai, tulimhitaji mtu wa aina yake, ambaye anayo hulka isiyowapendezesha watu wanaopenda mazabe na maisha ya uonevu unaotokana na jeuri ya pesa.
Huyu ataongoza ndani ya muda wa kikatiba, kinachohitajika kufanywa na baadhi yetu ni kuondoka na fikra za malalamiko, maisha ni mafupi na muda huwa hauendi mapumziko.
Wataje hao Malofa in mkapa's voiceNa bila ya kumsahau Yahaya Jammeh.
Yaani ni ajabu ya watu kuwa na mfanano kiasi hiki huku wakiwa umbali kiasi kile. Nadhani tabia hizi zimo kwenye DNA. Kuna watu wanazaliwa pengine pakiwa na kasoro fulani katika muundo wa DNA zinazohusisha tabia.
Kutaka kupendwa, ukatili na kujigeuzageuza kitabia wawapo sehemu za watu; kuonekana wapenda dini na kutaka waonekane wao ni wazalendo zaidi na kwa hiyo raia wengine wote waige mifano ya uzalendo kutoka kwao.
Fikra hizi zinanipeleka kwenye 'movie' ya "A Beautiful Mind". Hawa watu ni halisi na uchizi wao au umashuhuri wao unatokana na DNA zao.
La ajabu ni kwamba vijana kama huyo aliyeandika hayo tayari tunao, hata hapa JF. Nikitaka ntaorodhesha, lakini, aah, acha tu!
Kibaya zaidi yeye ndio kaunda hicho kitengo cha propaganda, ila jinsi hata wenye elimu zao walivyopokea na kuimba kiitikio cha hizo sifa za uongo, hata yeye anafikia mahali anaamini uongo wake kwa kudhani ni kweli!