Sounds like you've been pussy-whipped.
Sounds like you've been pussy-whipped.
Mdada ambaye ni mshika dini kama mimi ama FF hawezi kufanya hivyo banaa, unamtishia kijana wa watu,lol
binti ameshika sana dini na ni msikivu pia mnyenyekevu sana
Binduki na dini wapi na wapi?
Mie sioni tatizo mkuu, ni nguvu ya mapenzi tu hayo na wewe umefika sasa kiasi cha kwamba umekuwa insecure mpaka unamwaga pesa hovyo hovyo kwa vile unaogopa wengine wasije kutumia nguvu ya pesa kumchukua.
Jiamini mkuu hata ukimfungulia biashara kama anataka ku-cheat ata cheat tu.
Umefika kimapenzi hapo na wala hakuna nguvu ya giza na acha kuogopa kumpoteza huyu dada wewe chukulia hali ya kawaida usije ukawa unamsumbua kila saa kwa msg kutaka kujua yuko wapi mpaka ukamfukuza.
Usiwatupe ndugu zako kivilee mkuu jaribu ku-balance mambo kidogo.
Kila la kheri, toa hofu.
Nina g.f ambaye tumepanga kuoana muda si mrefu Mungu akijalia. Siku za nyuma nimewai kuwa na mahusiano tofauti na wasicha wengine ila nilikuwa mgumu sana katika kutoa pesa yangu na mapenzi niliona kitu cha kawaida sana, ila kwa huyu binti sijui ni limbwata ama ni nini coz nahisi mapenzi yangu kwake si ya kawaida mfano nikimkosa hewani amani yote inatoweka, kila ninalofanya lazima nimwambie nashtuka baadaye nam2mia pesa mara kwa mara hata asiponiomba, tayari nina mpango kumfungulia biashara asije ajiriwa na serikali, kujali wengine kama ndugu kumepungua sana na sasa naanza kupata mashaka, binti ameshika sana dini na ni msikivu pia mnyenyekevu sana sidhani kama anaweza fanya mambo ya giza, sifikiri kama ni mapenzi ya kawaida na sasa nataka niondoe hii khali ila nashindwa nianze vipi.
Msaada kimawazo tu wakuu.
Mie sioni tatizo mkuu, ni nguvu ya mapenzi tu hayo na wewe umefika sasa kiasi cha kwamba umekuwa insecure mpaka unamwaga pesa hovyo hovyo kwa vile unaogopa wengine wasije kutumia nguvu ya pesa kumchukua.
Jiamini mkuu hata ukimfungulia biashara kama anataka ku-cheat ata cheat tu.
Umefika kimapenzi hapo na wala hakuna nguvu ya giza na acha kuogopa kumpoteza huyu dada wewe chukulia hali ya kawaida usije ukawa unamsumbua kila saa kwa msg kutaka kujua yuko wapi mpaka ukamfukuza.
Usiwatupe ndugu zako kivilee mkuu jaribu ku-balance mambo kidogo.
Kila la kheri, toa hofu.
Mie sioni tatizo mkuu, ni nguvu ya mapenzi tu hayo na wewe umefika sasa kiasi cha kwamba umekuwa insecure mpaka unamwaga pesa hovyo hovyo kwa vile unaogopa wengine wasije kutumia nguvu ya pesa kumchukua.
Jiamini mkuu hata ukimfungulia biashara kama anataka ku-cheat ata cheat tu.
Umefika kimapenzi hapo na wala hakuna nguvu ya giza na acha kuogopa kumpoteza huyu dada wewe chukulia hali ya kawaida usije ukawa unamsumbua kila saa kwa msg kutaka kujua yuko wapi mpaka ukamfukuza.
Usiwatupe ndugu zako kivilee mkuu jaribu ku-balance mambo kidogo.
Kila la kheri, toa hofu.
Nina g.f ambaye tumepanga kuoana muda si mrefu Mungu akijalia. Siku za nyuma nimewai kuwa na mahusiano tofauti na wasicha wengine ila nilikuwa mgumu sana katika kutoa pesa yangu na mapenzi niliona kitu cha kawaida sana, ila kwa huyu binti sijui ni limbwata ama ni nini coz nahisi mapenzi yangu kwake si ya kawaida mfano nikimkosa hewani amani yote inatoweka, kila ninalofanya lazima nimwambie nashtuka baadaye nam2mia pesa mara kwa mara hata asiponiomba, tayari nina mpango kumfungulia biashara asije ajiriwa na serikali, kujali wengine kama ndugu kumepungua sana na sasa naanza kupata mashaka, binti ameshika sana dini na ni msikivu pia mnyenyekevu sana sidhani kama anaweza fanya mambo ya giza, sifikiri kama ni mapenzi ya kawaida na sasa nataka niondoe hii khali ila nashindwa nianze vipi.
Msaada kimawazo tu wakuu.