johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,521
Watanzania ni mabingwa wa kufuata mkumbo
Chadema hawashiriki uchaguzi na hata zoezi la kuboresha taarifa za wapiga kura na kuandikisha wapiga kura wapya hawajashiriki
Sasa hiyo No Election wataifanyia wapi?
Watanganyika fanyeni kazi achaneni kufuata mikumbo kama Wazaramo na ngoma ya “ Mdundiko”
Dominica njema 😁
Chadema hawashiriki uchaguzi na hata zoezi la kuboresha taarifa za wapiga kura na kuandikisha wapiga kura wapya hawajashiriki
Sasa hiyo No Election wataifanyia wapi?
Watanganyika fanyeni kazi achaneni kufuata mikumbo kama Wazaramo na ngoma ya “ Mdundiko”
Dominica njema 😁