MTOTO KITAA
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 245
- 116
Amani iwe kwenu wanajanvi,
Katika jamii kuna watu wa aina mbili,watu wanaoukubali ukweli, lakini wanabisha na kundi lingine wanakubali ukweli.
Mimi nimeishi katika majimbo ya Nyamagana na Kawe,haya yote yanaongozwa na CHADEMA lakini ukiangalia ahadi walizozitoa hakuna zilizotekelezeka, mfano Wenje aliahidi watu wa Sweya kuwa akiingia madarakani atahakikisha anarudisha viwanja vilivyochukuliwa na wakubwa.
Kawe,Mdee alihaidi kuwa akipewa nafasi atahakikisha soko la Kawe kuwa magari yote yatakuwa yanageuzia hapo kwa lengo la kupanuka kwa biashara,pili Tanganyika pekas atairudisha kwa wananchi.
Leo wananchi wanauliza juu ya ahadi hizo, eti wanasema madiwan wa CCM ndio vikwazo vya ahadi zao.
SwalI: Je kama ndio madiwani ni vikwazo,je kuna umuhimu wa kuchagua tena upinzan? kwa sababu tutaendelea kutokuwa na maendeleo mpaka 2050 watakapochaguliwa madiwan wa CHADEMA.
Kiukweli wabunge wa CHADEMA ni wazuri sana kuongea bungeni, lakin majimbo yao yamedolora.
Najua mtasema serikal ndio inaleta maendeleo, je kwa nini wanatoa ahadi?
Katika jamii kuna watu wa aina mbili,watu wanaoukubali ukweli, lakini wanabisha na kundi lingine wanakubali ukweli.
Mimi nimeishi katika majimbo ya Nyamagana na Kawe,haya yote yanaongozwa na CHADEMA lakini ukiangalia ahadi walizozitoa hakuna zilizotekelezeka, mfano Wenje aliahidi watu wa Sweya kuwa akiingia madarakani atahakikisha anarudisha viwanja vilivyochukuliwa na wakubwa.
Kawe,Mdee alihaidi kuwa akipewa nafasi atahakikisha soko la Kawe kuwa magari yote yatakuwa yanageuzia hapo kwa lengo la kupanuka kwa biashara,pili Tanganyika pekas atairudisha kwa wananchi.
Leo wananchi wanauliza juu ya ahadi hizo, eti wanasema madiwan wa CCM ndio vikwazo vya ahadi zao.
SwalI: Je kama ndio madiwani ni vikwazo,je kuna umuhimu wa kuchagua tena upinzan? kwa sababu tutaendelea kutokuwa na maendeleo mpaka 2050 watakapochaguliwa madiwan wa CHADEMA.
Kiukweli wabunge wa CHADEMA ni wazuri sana kuongea bungeni, lakin majimbo yao yamedolora.
Najua mtasema serikal ndio inaleta maendeleo, je kwa nini wanatoa ahadi?