Siasa za vyama vya upinzani za upepo tu

tata mura

JF-Expert Member
Sep 27, 2012
275
49
Nchini Tanzania siasa ni kila kitu hata jambo lisilo la ki-siasa sasa limegeuka kuwa la ki-siasa. Siku za hivi karibuni kumekuwepo na manung'uniko juu ya watoto wa Shule za Msingi na Secondary kutumika katika kusherehesha sherehe mbalimbali katika mijumuuko yao. mfano; Chama cha Mapinduzi kinatuhumiwa kutumia watoto kwenye Sherehe zao za kuazimisha miaka 38 ya chama chao, na jana tarehe 06[SUP]th[/SUP]Feb.2015 tumeshuhudia Kanisa SDA kutumia watoto kwenye sherehe zao je na wao watuhumiwa?

Watoto lazima tuwape haki zao zote ikiwa ni pamoja na kushirikishwa katika mijumuiko mbali mbali na lazima tuwajenge kiafya, na tuache tabia ya kukurupuka kwa kila jambo kwa mgongo wa kisiasa. Mimi binafsi nawapongeza wale wote wanaowatumia watoto katika sherehe mbalimbali kwani waonyesha vipaji vyao na wala Wananchi hatujalalamika kuhusu hilo.

Ushauri; Wabunge wajitahidi kuvumbua na kuibua hoja zenye maendeleo kuliko ilivyo sasa kutafuta jinsi ya kutoka " NITOKE VIPI!"
 
.....sawa kabisa,hamna vision,mnazidi kuwagawa mpaka watoto wenu.
 
Siasa za upinzani za kijuha kweli ni watu wa kudandia mada za kitoto ilimradi wasikike wakiongea sijui kawaroga nani.
 
Mwalimu mkuu anapewa barua ya maelekezo na mkurugenzi kutoka kwa Mkuu wa mkoa kwamba walimu na wanafunzi wote ni lazima kwenda kwenye mkutano wa CCM!!? Hili jambo unaliona ni sawa? Hayo maadhimisho yangefanyika ulipo ungekubali wanao waende?

tata mura

huko kanisani kwenu watoto walipewa maelekezo na nani!!!

Duh!? Bado safari ni ndefu sana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom