Nimeshangazwa na siasa zinazoendelea kichinichini kuhusu umri wa Chuo Kikuu Cha D'Salaam.
Kuna pililapilika za kusherehekea miaka 50 ya Chuo hicho ifikapo October mwaka huu.
Maana yake ni nini? Maana yake kilianza mwaka 1961 tena kabla ya Uhuru.
Je, kwa nini mara kadhaa huandikwa kwamba kilianza mwaka 1970 na Nyerere akiwa Chancellor wa kwanza tangu mwaka huo.
Kuna pililapilika za kusherehekea miaka 50 ya Chuo hicho ifikapo October mwaka huu.
Maana yake ni nini? Maana yake kilianza mwaka 1961 tena kabla ya Uhuru.
Je, kwa nini mara kadhaa huandikwa kwamba kilianza mwaka 1970 na Nyerere akiwa Chancellor wa kwanza tangu mwaka huo.