Picha ikiwaonyesha Bernard Membe wakiteta na Fatma Karume.
Tumeachana na mambo ya clip sasa ni live bila chenga.
Ipe maneno.
====================
Fatma Karume: Jana hawa WADUKUZI wamenipiga picha nikiwa nakunywa chai na Membe. Sasa sikilizeni: 1. Katafuteni Simu yenye Kamera nzuri. Mnapiga picha saa 5 asubuhi inatoka kama imepigwa USIKU WA MANANE! 🤣🤣 2. Nitakutana na mtu yeyote ninayejisikia kuonana nae. Wapumbavu wakubwa. https://t.co/ViBV3CvIRf
Tumeachana na mambo ya clip sasa ni live bila chenga.
Ipe maneno.
====================
Fatma Karume: Jana hawa WADUKUZI wamenipiga picha nikiwa nakunywa chai na Membe. Sasa sikilizeni: 1. Katafuteni Simu yenye Kamera nzuri. Mnapiga picha saa 5 asubuhi inatoka kama imepigwa USIKU WA MANANE! 🤣🤣 2. Nitakutana na mtu yeyote ninayejisikia kuonana nae. Wapumbavu wakubwa. https://t.co/ViBV3CvIRf