COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,598
- 3,644
Naona UVCCM wageni wanashangilia sana mafuriko ya watu kwenye mkutano wa Rais Magufuli juzi huko Mbeya. Tuwakumbushe tu kuwa Mbeya ndivyo ilivyo, wao kila mwanasiasa huenda kumsikiliza baadae wanafanya yao kwenye sanduku la kura.
Tujikumbushe Nyomi za watu uchaguzi wa mwaka 2015 kati ya Magufuli - CCM na Lowassa - Chadema Ukawa.
Ukizitazama hizo picha na kilichotokea kwenye matokeo ya kura 2015 mtaelewa vizuri. Poleni UVCCM
Tujikumbushe Nyomi za watu uchaguzi wa mwaka 2015 kati ya Magufuli - CCM na Lowassa - Chadema Ukawa.
Ukizitazama hizo picha na kilichotokea kwenye matokeo ya kura 2015 mtaelewa vizuri. Poleni UVCCM