666 chata
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,710
- 4,044
Kumekuwepo na hama hama za wabunge kutoka chama flani kwenda chama flani, sababu kubwa ikikisiwa kua et wamemkubali Rais, na japo kuna stori za chini ya kapeti ambazo sio rasmi zinadai kumekuwepo na ununuzi wa watu hao au kubanwa kwenye biashara zao na vitisho vingi, sasa sisi wananchi hatuna shida na maamuzi yao na makubaliano yao, ila tunataka tu kuwakumbusha tu kuhama kwao kwa sababu za kawaida na za kitoto kama hizo zinatutia hasara kubwa sanaa.
Uchaguzi mmoja wa jimbo unaweza kugharimu mpaka bilion 5 kwa estimation za kawaida, pesa ambayo inaweza kujenga mahospital na mashule kadhaa kwenye jimbo husika, au kukarabati na kujenga barabara za jimbo kwa kiwango kizuri sanaa.
Tunawaomba wabunge wote wamkubali rais ili tusave pesa muda au basi wamkubali wakiwa huko huko kwenye vyama vyao na sidhani kama wananchi tutawaelewa vibaya.
Na wale wanaotuhumiwa kununua hao wanao hama wakumbuke tu kua wanafanya kazi bure wenye maamuzi ni sisi wananchi na kamwe hatuwezi kubadilisha misimamo yetu ya kisiasa et kisa mbunge kabadilika basi ata tu win na sisi, no hawatofanikiwa. Wananchi wa sasa wanajua karibu kila kitu kinavyoendelea hakuna jipya.
NEC andaeni mpango hawa wanaojiuzuru kwa njia za namna hii basi wajue kabisa hakutakua na uchaguzi mwingine mpaka 2020, walio wengi hawana impact kwenye majimbo yetu yaani wawepo au wasiwepo ni sawa tu.
Uchaguzi mmoja wa jimbo unaweza kugharimu mpaka bilion 5 kwa estimation za kawaida, pesa ambayo inaweza kujenga mahospital na mashule kadhaa kwenye jimbo husika, au kukarabati na kujenga barabara za jimbo kwa kiwango kizuri sanaa.
Tunawaomba wabunge wote wamkubali rais ili tusave pesa muda au basi wamkubali wakiwa huko huko kwenye vyama vyao na sidhani kama wananchi tutawaelewa vibaya.
Na wale wanaotuhumiwa kununua hao wanao hama wakumbuke tu kua wanafanya kazi bure wenye maamuzi ni sisi wananchi na kamwe hatuwezi kubadilisha misimamo yetu ya kisiasa et kisa mbunge kabadilika basi ata tu win na sisi, no hawatofanikiwa. Wananchi wa sasa wanajua karibu kila kitu kinavyoendelea hakuna jipya.
NEC andaeni mpango hawa wanaojiuzuru kwa njia za namna hii basi wajue kabisa hakutakua na uchaguzi mwingine mpaka 2020, walio wengi hawana impact kwenye majimbo yetu yaani wawepo au wasiwepo ni sawa tu.