QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Tangu uchaguzi kuisha mwaka jana, kuna sentenssi zimeibuka na zinatumiwa na wana siasa na viongozi wa serikali kusema kuna "Siasa za Chuki". Ambapo ukisikia malalamiko hayo, ujue kuwa wahusika wameisema serikali iliyoko madarakani au CCM. Swali linakuja, Je Siasa za chuki na siasa zisizo za chuki ni zipi?
Nawasilisha
:teeth:
Nawasilisha
:teeth: