Katika Hoja ullzozitoa mbona hakuna uwiano na Ndoa za CCM ambazo zimekuwa zikiingiwa na vyama vya upinzani??Mimi naona Chadema awaongozwi na kelele za watu bali wanaongozwa na taratibu,kanununi na katiba yao pia kwa kuheshimu sheria za nchi.
Ukiwa na negative attitude na CDM huwezi kuijadili CDM in positive attitude!
EasyFit said:CHADEMA imesema licha ya Rais Jakaya Kikwete kutia saini Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Katiba ya mwaka 2011, itafanya kila linalowezekana kuhakikisha Tanzania inapata Katiba bora.
Matamko haya yametolewa jana na viongozi wa Chadema walipokuwa wakizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungua semina ya siku moja ya viongozi wa chama hicho kutoka katika mikoa 26 ya Tanzania Bara.
EasyFit said:Slaa:
"Sisi tuliomba tuonane na rais ili tumshauri aache kusaini katiba ile lakini hatuna uwezo wa kumzuia kwa kuwa katiba yenyewe inamruhusu, hivyo kama ameisaini shauri yake, sisi bado tunaendelea na msimamo wetu wa kuipinga sheria hiyo," alisema.
Alisema kuwa kitendo hicho kimeonesha kuwa Kikwete hakujali hoja za Watanzania na wadau wengine kwa ujumla. Alisema pamoja na yote yaliyotokea, CHADEMA wataendelea kupeleka maoni yao kwa ajili ya marekebisho hayo kama ambavyo walikubaliana kwa pamoja.
Zitto:
"Ni vema juhudi hizi ziendelee, tusikubali kushindwa kupata mwafaka wa kitaifa," alisema Zitto na kusisitiza; "Kwa namna yoyote ile Chadema itaendelea kuchukua hatua zote muafaka kuhakikisha Watanzania wanapata Katiba nzuri na yenye manufaa kwa taifa.
"Watanzania waelewe kwamba hakuna ushindani katika jambo hili. Tunaandaa mazingira mazuri ya kuliandaa Taifa letu liwe na demokrasia zaidi na liweze kutumia rasilimali za nchi kwa maendeleo ya Watanzania," aliongeza.
"Nimewahi kusema na ninarudia kusema tena, Katiba ya nchi inaweza kutafutwa barabarani, lakini kamwe haiandikwi barabarani. Katiba huandikwa mezani kutokana na mazungumzo yanayozaa mwafaka wa Kitaifa," alionya Zitto
Lissu:
"Ninachosema ni kuwa Rais alitukatalia mapendekezo yetu kwa sababu katika kikao kile hatukukubaliana kuwa hataisani muswada huo," alisema Lissu na kuongeza:
"Sisi tunaendelea kufanya efforts (juhudi), kuendelea kusimamia hoja zetu na tunajiandaa kupeleka hoja bungeni kubadilishwa kwa sheria hii," alisema.
"Tutawaambia wabunge waangalie maslahi ya wananchi, wapige kura kwa maslahi ya wananchi na si kwa maslahi ya chama fulani," alifafanua.
Tujadili kitu gani? uwezo wako wakufikiri umegota kama mwenyewe ulivyo jieleza! CHADEMA ni chama kikubwa sana kwa hiyo hakiwezi kuendeshwa kwa mawazo yako mfilisi na ya kukata tamaa, sana sana unashuriwa ujitoe nauanzishe chama chako sie tuachie CHADEMA yetu. Kama unachuki binafsi na Mnyika liweke wazi tu!Hbr wana Jamvi.
Nitangaze kukipenda CDM. Nilipata kadi ya CDM mwaka 2007 wakati Dr. Slaa, Prof. Baregu na wengine wengi walipofanya mdahalo ukumbi mmoja pembeni ya mliman city, eneo la survey ilikuwa 2007, Kipindi hicho nilikuwa 2nd year. Niliamua kuchukua kadi yao kwa kuwa niliamini CDM kimebeba matumaini ya watanzania. Na kwa kazi waliyoifanya kipindi kile CDM walistahili pongezi na ndo iliwafanya wafike hapo walipo leo.
Siku zote maisha ni kupanda na kushuka. Katika medani za siasa,
(i) NCCR Mageuzi ilipanda chat sana, lakini baada ya muda ikashuka 1995-2000
(ii) Kushuka kwa NCCR, kukatoa mwanya wa CUF kupanda ambapo wameshika hatamu kwa vipindi viwili mfululizo hasa kwa kuwa na idadi ya wabunge wengi. 2000-2010. Kuingia kwao kwenye makubaliano na CCM,ndo ukawa mwisho wao wa kushika hatamu kwa vyama vya upinzani Tanzania.
(iii) CHADEMA, wakatumia mwanya huo, mpaka wameshika hatamu ambayo itawafikisha 2015, lakini naamini watafika 2015 wakiwa hoi kama hawatafanya mabadiliko ya kiutendaji ndani na nje ya CHAMA. Kinachowaua ni kile kilichowaua CUF, KUINGIA MIKATABA YA KILAGHAI na CCM
Swali langu ni je, iwapo CDM ambacho kimekuwa kikitumainiwa na wananchi waliowengi, na kilikuwa mbioni kuaminiwa kupewa nchi, kama hawatabadilika na kupotosha matamko yaliyotolewa na Mnyika baada ya wao kuingia makubaliano maalum na CCM, ya kutoshiriki kwa namna yoyote ile mchakato wa kupatikana katiba mpya, na kusitisha MAANDAMANO yaliyowafikisha hapo walipo. NANI ATASHIKA HATAMU? WATANZANIA WATAMWAMINI NANIU TENA? TLP? UDP? UPDP au SAU?
Naona akilini mwangu nashuhudiwa kuwa Tanzania hakuna upinzani, bali wote wamekuwa ni vibaraka wa CCM. Mrema alianza vizuri, mwisho karudi nyumbani=CCM, Maalim Seif alipanda chat, lakini karudi CCM, CDM, wamepanda chat mwisho wake wamerudi CCM, hii ni kwa makubaliano waliyoyafanya na kisha kumtuma MNYIKA kuwa msemaji wa CHAMA.
Dr. Slaa na Zitto vipenzi wa wengi nchini na wenye ushawishi, wako wapi?
Tujadili kwa manufaa ya kukuza demokrasia nchini
Mkuu,
Inaonekana wewe huifahamu cdm vizuri! Wamemtega JK nae akaingia kingi. Wamewathibitishia watz kwamba JK sio msikivu kama wanavyosema wapambe wake. Wame prove beyond reasonable doubt kwamba ni mnafiki mkubwa na halitakii mema taifa. Sasa kazi iliyobaki cdm ni rahisi sana. Kuwaita wananchi na kuwaeleza unafiji huu! Halafu wao wataamua hatima yao. Kimsingi cdm wamepanda chati zaidi kuliko unavyowaza!
Tujadili kitu gani? uwezo wakufikiri umegota kama mwenyewe ulivyo jieleza! CHADEMA ni chama kikubwa sana kwa hiyo hkiwezi kuendeshwa kwa mawazo yako mfilisi na ya kukata tamaa, sana sana unashuriwa ujitoe nauanzishe chama chako sie tuachie CHADEMA yetu. Kama unachuki binafsi na Mnyika liweke wazi tu!
Fuatiia kwa makini statement yao kabla ya kukutana ikulu walisemajenilikuwa na ve+, kwa sasa niko dialema, nakosa nguvu za kuwaamini hasa kufuatia kitendo chao cha kuingia ikulu ambacho si shida sana, lakini kitokanacho na makubaliano ya ikulu
CHADEMA ni wamoja hawajagawanyika kama unavyowagawa wewe. Acha chuki zako dhidi ya mh. Mnyika.rejea matamushi ya Mnyika akiongea na waandishi wa habari kwa niaba ya CDM. Alisema, CDM, haitoshiriki kwa namna yoyote ile, means hata kuwaita wananchi na kuwaeleza wao hawamo, hawatafanya hivyo. Lakini nimefarijika na mtamshi ya Zitto na Slaa, yanonesha matumaini siyo yale ya Munyika, MUNGIKI ndani ya chama
Hbr wana Jamvi.
Nitangaze kukipenda CDM. Nilipata kadi ya CDM mwaka 2007 wakati Dr. Slaa, Prof. Baregu na wengine wengi walipofanya mdahalo ukumbi mmoja pembeni ya mliman city, eneo la survey ilikuwa 2007, Kipindi hicho nilikuwa 2nd year. Niliamua kuchukua kadi yao kwa kuwa niliamini CDM kimebeba matumaini ya watanzania. Na kwa kazi waliyoifanya kipindi kile CDM walistahili pongezi na ndo iliwafanya wafike hapo walipo leo.
Siku zote maisha ni kupanda na kushuka. Katika medani za siasa,
(i) NCCR Mageuzi ilipanda chat sana, lakini baada ya muda ikashuka 1995-2000
(ii) Kushuka kwa NCCR, kukatoa mwanya wa CUF kupanda ambapo wameshika hatamu kwa vipindi viwili mfululizo hasa kwa kuwa na idadi ya wabunge wengi. 2000-2010. Kuingia kwao kwenye makubaliano na CCM,ndo ukawa mwisho wao wa kushika hatamu kwa vyama vya upinzani Tanzania.
(iii) CHADEMA, wakatumia mwanya huo, mpaka wameshika hatamu ambayo itawafikisha 2015, lakini naamini watafika 2015 wakiwa hoi kama hawatafanya mabadiliko ya kiutendaji ndani na nje ya CHAMA. Kinachowaua ni kile kilichowaua CUF, KUINGIA MIKATABA YA KILAGHAI na CCM
Swali langu ni je, iwapo CDM ambacho kimekuwa kikitumainiwa na wananchi waliowengi, na kilikuwa mbioni kuaminiwa kupewa nchi, kama hawatabadilika na kupotosha matamko yaliyotolewa na Mnyika baada ya wao kuingia makubaliano maalum na CCM, ya kutoshiriki kwa namna yoyote ile mchakato wa kupatikana katiba mpya, na kusitisha MAANDAMANO yaliyowafikisha hapo walipo. NANI ATASHIKA HATAMU? WATANZANIA WATAMWAMINI NANIU TENA? TLP? UDP? UPDP au SAU?
Naona akilini mwangu nashuhudiwa kuwa Tanzania hakuna upinzani, bali wote wamekuwa ni vibaraka wa CCM. Mrema alianza vizuri, mwisho karudi nyumbani=CCM, Maalim Seif alipanda chat, lakini karudi CCM, CDM, wamepanda chat mwisho wake wamerudi CCM, hii ni kwa makubaliano waliyoyafanya na kisha kumtuma MNYIKA kuwa msemaji wa CHAMA.
Dr. Slaa na Zitto vipenzi wa wengi nchini na wenye ushawishi, wako wapi?
Tujadili kwa manufaa ya kukuza demokrasia nchini