Siasa za bongo ziko very predictable!

ELI COHEN

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
9,424
Reaction score
28,716
Kila mtu alijua baada ya mangi kunyimwa nafasi ya kuliongoza duka la ukoo kwa mara nyingine, atatengeneza mkakati ambao utawahusisha wafanyakazi wa dukani waliokuwa mabest zake ili kumpa wakati mgumu mangi mpya aliochaguliwa na wana ukoo.

Kila mtu alijua wafanyakazi hao watajitangaza kuacha kazi zao na kushawishi wafanyakazi wengine kufanya hivyo ili kudhoofisha utendaji wa uongozi mpya wa duka

Kila mtu anajua wafanyakazi hao watapata nafasi katika maduka mengine shindani na zitakuwa nafasi za juu zaidi ya walizokuwa nazo.
 
Mangi mimi nilianza kumshtukia kitambo sana, kuna macho fulani ya kitapeli alikua anachunguliaga chini ya miwani🤔
Hahahaha matapeli Huwa wanakasura Fulani hivi wakitaka kukazia jambo ambalo anajua ni la uongo au la kinafiki, na huyo jamaa ndio analo
 
Na kila mtu anajua kuwa mwenyeduka akisusa,.......duka linaota mabawa. Halafu yanaanza maneno "oh mangi alikuwa mchawi...ona kaondoka na duka"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…