johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,966
- 141,974
Itikadi ya ujamaa na kujitegemea ndio siasa pekee yenye usawa na kutenda haki hapa duniani lakini kwa kuwa ulimwengu huu umeelemewa na siasa za UONGO na uzushi siasa za ujamaa zimefutika kabisa.
Ujamaa ni Imani na wale wote wanaoamini katika ujamaa nyuso na matendo yao huonyesha hilo na si huu ujamaa wa maneno tunaousikia.
Katika hili niwapongeze sana CHADEMA kwa kuwa wakweli kuhusu itikadi inayowaongoza yaani ubepari pamoja na kwamba practice yao imekaa kiuchwara uchwara lakini kwa mbali wanajsribu kufanana nayo.
Kule CCM ni kama alivyosema rip Komba kwamba "CCM ni kokoro" lililosheheni visafi na vichafu hivyo si rahisi hata kuelewa itikadi yake ndio maana watu kama Madabida wanafukuzwa na kurejeshwa kirahisi mno.
Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Ujamaa ni Imani na wale wote wanaoamini katika ujamaa nyuso na matendo yao huonyesha hilo na si huu ujamaa wa maneno tunaousikia.
Katika hili niwapongeze sana CHADEMA kwa kuwa wakweli kuhusu itikadi inayowaongoza yaani ubepari pamoja na kwamba practice yao imekaa kiuchwara uchwara lakini kwa mbali wanajsribu kufanana nayo.
Kule CCM ni kama alivyosema rip Komba kwamba "CCM ni kokoro" lililosheheni visafi na vichafu hivyo si rahisi hata kuelewa itikadi yake ndio maana watu kama Madabida wanafukuzwa na kurejeshwa kirahisi mno.
Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!