Siasa ya Jerry Silaa Ukonga kiaina

Siasa ya Jerry Silaa Ukonga kiaina

WAITARA

Member
Joined
Sep 23, 2013
Posts
68
Reaction score
37
Juzi katika kata ya Kitunda lilizinduliwa Kombe la Marembeka mgeni rasmi alikuwa Jamal Malinzi Rais wa TFF.

Kwa maelezo ya waliohusika inaonekana mwenye Kombe ni Mhe.marembeka Diwani wa kata ya Msongola.

Huyu ni diwani kata nyingine na hata kata yake haina kombe ila ameleta kombe kitunda tena hata bila kuwa shirikisha wenyeji kwa maana ya diwani wa kata ya kitunda.

Jerry Silaa hakuwepo ila mipango iliwekwa sawa na mpambe wake huyo marembeka.kituko ni baada ya kuona jezi zilizotolewa kuwana maneno madogo js!je kwa tafsiri yako JS maana yake nini?Jerry amekwisha tangaza kugombea ubunge Ukonga na kuapa kwamba kwa kuwa yuko karibu na Ridhiwani

kikwete na kwa sasa wana mtandao wa mgombea urais wakiamini kwamba atateuliwa kuwa Waziri.

Ombi langu kwa watanzania na hii ni nchi nzima.Hawa watu wamekuwa madarakani kwa miaka hamsini sasa.wapimwe kwa mema yao na kuwapunguza ili nchi isonge mbele.Kwa mfano jerry ni meya wa manispaa ya Ilala.

Mnakumbuka magorofa yalidondoka hivi kama Mkurugenzi yuko ndani ni kwa nini yeye yuko mtaani?kwa sababu ni mjumbe wa kamati kuu ya CCM?angalia pale kariakoo Roundna Posta katikati ameweka skrepaza ngalawa na meli badala ya bustani.tafakari kisha chukua hatua.

Watu wa ukonga kumbuka kwamba kulikuwa na mafuriko na Jerry hakufika hata siku moja na hadi leo kuna madimbwi makubwa yeye anakuja na mipira.Mpira ni muhimu ila si kipaumbele.jadlili je hii ni sawa?
 
Wiki iliyopita kulikuwa na uzi hapa JF kuhusu vijana kupewa jezi, kuna wapambe walijitahidi kuitetea kuwa michezo ni ajira inaweza kuwa kweli kwa sababu huyo Mhe. Malembeka na Js wanajitafutia ajira kwa kutumia michezo hiyo.
 
nchi hii inavibweka wengi sana. tusipokuwa makini tutachelewa sana. kama wanaukonga watakuwa bize na huyo muuza sura kazi wanayo.
 
Mbona mimi niko Zingiziwa ila sijaziona hizo jezi zenye JS??
 
Hii nchi haipo tena, wala usisumbuke kuiwazia. Na kama ipo basi ipo kwa Mungu haipo tena mikononi mwa watz wenyewe. Nchi gani haiishi vituko lakini watz hawachukui hatua? Siku si nyingi kituko kingine kitaibuka tena, tega masikio na macho yako!
 
Juzi katika kata ya Kitunda lilizinduliwa Kombe la Marembeka mgeni rasmi alikuwa Jamal Malinzi Rais wa TFF.

Kwa maelezo ya waliohusika inaonekana mwenye Kombe ni Mhe.marembeka Diwani wa kata ya Msongola.

Huyu ni diwani kata nyingine na hata kata yake haina kombe ila ameleta kombe kitunda tena hata bila kuwa shirikisha wenyeji kwa maana ya diwani wa kata ya kitunda.

Jerry Silaa hakuwepo ila mipango iliwekwa sawa na mpambe wake huyo marembeka.kituko ni baada ya kuona jezi zilizotolewa kuwana maneno madogo js!je kwa tafsiri yako JS maana yake nini?Jerry amekwisha tangaza kugombea ubunge Ukonga na kuapa kwamba kwa kuwa yuko karibu na Ridhiwani

kikwete na kwa sasa wana mtandao wa mgombea urais wakiamini kwamba atateuliwa kuwa Waziri.

Ombi langu kwa watanzania na hii ni nchi nzima.Hawa watu wamekuwa madarakani kwa miaka hamsini sasa.wapimwe kwa mema yao na kuwapunguza ili nchi isonge mbele.Kwa mfano jerry ni meya wa manispaa ya Ilala.

Mnakumbuka magorofa yalidondoka hivi kama Mkurugenzi yuko ndani ni kwa nini yeye yuko mtaani?kwa sababu ni mjumbe wa kamati kuu ya CCM?angalia pale kariakoo Roundna Posta katikati ameweka skrepaza ngalawa na meli badala ya bustani.tafakari kisha chukua hatua.

Watu wa ukonga kumbuka kwamba kulikuwa na mafuriko na Jerry hakufika hata siku moja na hadi leo kuna madimbwi makubwa yeye anakuja na mipira.Mpira ni muhimu ila si kipaumbele.jadlili je hii ni sawa?

Wacha agawe jezi vijana waendelee kuimarisha afya zao na kutengeneza urafiki baina ya vijana wa kata moja na nyingine. Lakini tukifika kwenye mambo muhimu ya maisha ya wananchi wa Ukonga lazima Jerry Silaa tutamshughulukia kiasi cha kutosha na wananchi watazidi kumtambua meya asiyekuwa na msaada wowote kwao zaidi ya kuuza sura tu mitandaoni.

Kazi iliyopo mbele yetu na ambayo mimi binafsi nimejitolea kuifanya ni kumshughulikia Jerry wakati muafaka utakapofika kwakuwa inaonekana dhahiri kuwa amejiandaa kikamilifu kununua ushindi ndani ya ccm ili apitishwe kuwania ubunge Ukonga na kwakweli tunajiaanda vizuri kukabiliana na mgombea yoyote wa ccm lakini tunatamani sana ateuliwe Jerry ili tumshikishe adabu.
 
Last edited by a moderator:
Wanafiki wote MOTONI. Wewe mleta thread ni nafiki na moto unakusubiri, sijui kama ni mke au la lakini kama sio ke basi watu wanapakua. Hivi Bavita mna akili mbovu kiasi gani, yaani unakaa kumjadiri mtu halafu unakuja na siasa dhaifu na hafifu chini ya umri wako heti watu wakusikilze. Najua wapo wachache wenye akili kama yako lakini najua nao wakijitambua hawahitaji unafiki na hoja dhaifu kama zako. Hivi huu mtaa siku hizi umevamiwa eeh, great thinker wenzetu wako wapi siku hizi. Pamebaki makapi fulani hivi, maboya na nyangau uchwara kuja humu kuleta porojo zenye upungufu wa kibinadamu, kama wadudu vile!!!!!!!!!!! TURUDISHIENI WATU WENYE KIWANGO CHA HUMU MOD.
 
Back
Top Bottom