johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,521
Mnyama kalala 2-0 kama ilivyo alama ya M4C teh...teh...teh...!!
Mnyama kalala 2-0 kama ilivyo alama ya M4C teh...teh...teh...!!
Mnyama kalala 2-0 kama ilivyo alama ya M4C teh...teh...teh...!!
Acha ujinga mi mwenyewe yanga lakini sishabikii lichama lako hilo, usichanganye siasa na burudani tafadhali,
Yanga ikishinda ni shida sana. Kwa Mara ya kwanza hii thread inaletwa huku kwa kuwa tu yanga imeshinda. Mleta mada atakuwa amepatwa Na kiwewe cha ushindi.