Siasa katika uchumi wa middlemen

Siasa katika uchumi wa middlemen

Athuman hamis Juma

New Member
Joined
Mar 23, 2018
Posts
4
Reaction score
1
MWAMBIE MTEULE WA RAIS - OFISI YA MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM, Paul Makonda

Mwambie kuwa



Baada ya kumaliza stand ya Mbezi terminal na kuhamisha hii ya Ubungo



Pale Ubungo asijenge soko kubwa ili wafanyabishara wa ndani na nje ya nchi wawe wanakuja kuchukua bidhaa kutoka nje ya nchi moja kwa moja bali



Ajenge soko kubwa ambalo, wafanyabiashara wakubwa wa nje na ndani, (cartel cooperation) wawe wanachukulia pale bidhaa zote za ndani ya nchi (bidhaa za kilimo na mifugo na uvuvi)



Hii itasaidia kuinua uchumi wa watu wa nchi hii maana bidhaa zetu tutaleta pale


Pia, itawafanya cartel kuacha kununua moja kwa moja toka kwa wakulima, wafugaji na wavuvi bali litatokea tabaka la middle men ambalo litajiajiri kununua kwa wakulima na kuuza kwa cartels


Mwambie azingatie hilo hata masoko ya mabibo, Ilala nk



Mwambie, Kariakoo na bandari zinatosha kuingiza bidhaa za nje


Mwambie wakulima wanalia hasara kwa sababu matajiri wanapanga bei zao kisha wanaingia huko kwa wazalishaji


Mwambie, njia ya kuwaajiri vijana wa mitaji ya chini ya m10 ni hiyo



Mwambie, Ulaya viwanda (cartels huzalisha bidhaa kisha huuza kwa middle men wanaoleta huku Afrika/Tunaonunua kwao tukifuata huko Ulaya

Tena hadi middle men wa Ulaya wanaungana kuwa Cartels

Mwambie, ili middle men wanufaike, yatupasa kujenga masoko kwa ajili ya bidhaa zetu kuuzwa kwa watu wa nje (exporters) na sio sie kununua kwa importers




Mwambie, mfumo wa sasa ni mgumu kwa beginners kushindana na cartels on field


Mwambie aweke mazingira equitable and not equal



Mwambie wenye ndoto kubwa kibiashara tunakuwa stuck kwa mazingira equal kati ya cartel na middle men ktk kutafuta bidhaa au huduma ktk vyanzo vyake na kwa kuwa , cartels ndio soko la bidhaa zetu kwa kuexport basi tunapokuwa nao equal tunakosa soko


Mwambie Ubungo iwe makutano ya middle men na cartels



Mkumbushe, kama Cartels wakitaka kuchukua bidhaa mashambani,/ majini basi awaambie waje wawekeze nao ktk uzalishaji


Bila hivyo, wawe wanunuzi kama ambavyo na sie tunanunua kwa middle men huko nje



Mwambie vijana, hasa tunaokuwa ktk umri wa miaka 20 - 35 tunahitaji kufanya mambo makubwa lakini tunakwama kwa mfumo usio wezeshi wa uchumi


Mwambie, ili uchumi unufaishe nchi
Wafanyabiashara wa ndani na nje waweze kufanya kazi vizuri wote

Wafanyabiashara wa ndani ni wafanyabiashara wote wa nje na ndani ya nchi ambao wanachukua na kuuza bidhaa zinazozalishwa nchini, iwe wanauza kwa ajili ya export au ndani (bidhaa za ndani kuuzwa nje, biashara hapa ni bidhaa)

Wafanyabiashara wa nje ni wale wote wanaochukua bidhaa nje na kuziuza ndani ya nchi(bidhaa za nje kuuzwa ndani, biashara hapa ni bidhaa sio mtu)

@according to me

Mwambie, lazima tuwezeshe wafanyabiashara wa ndani kuuza bidhaa sawa sawa au zaidi ya wafanyabiashara wa nje


Lazima bidhaa zetu zitoke nje maana ndio lengo la kuzalisha


Huu ni wakati wa kupigania bidhaa zetu kupata soko nje kama ambavyo mataifa mengi duniani yamepigania bidhaa zao kupata soko nchini mwetu



VIONGOZI WOTE, NIWAOMBE TUANZE KUWAZA JINSI YA KUKUZA UZALISHAJI WA BIDHAA NA HUDUMA ZETU KUTOKA RASILIMALI ZETU NA KISHA TUTUMIE MBINU ZOTE KUZIJENGEA SOKO NJE NA NDANI ILI TANZANIA YETU IKUE KIUCHUMI NA WATU WAWE WANUFAIKA WAKUBWA





FOR COMMON GOOD






NA




ATHUMAN HAMIS JUMA

TANGANYIKA
 
Hu
MWAMBIE MTEULE WA RAIS - OFISI YA MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM, Paul Makonda

Mwambie kuwa



Baada ya kumaliza stand ya Mbezi terminal na kuhamisha hii ya Ubungo



Pale Ubungo asijenge soko kubwa ili wafanyabishara wa ndani na nje ya nchi wawe wanakuja kuchukua bidhaa kutoka nje ya nchi moja kwa moja bali



Ajenge soko kubwa ambalo, wafanyabiashara wakubwa wa nje na ndani, (cartel cooperation) wawe wanachukulia pale bidhaa zote za ndani ya nchi (bidhaa za kilimo na mifugo na uvuvi)



Hii itasaidia kuinua uchumi wa watu wa nchi hii maana bidhaa zetu tutaleta pale


Pia, itawafanya cartel kuacha kununua moja kwa moja toka kwa wakulima, wafugaji na wavuvi bali litatokea tabaka la middle men ambalo litajiajiri kununua kwa wakulima na kuuza kwa cartels


Mwambie azingatie hilo hata masoko ya mabibo, Ilala nk



Mwambie, Kariakoo na bandari zinatosha kuingiza bidhaa za nje


Mwambie wakulima wanalia hasara kwa sababu matajiri wanapanga bei zao kisha wanaingia huko kwa wazalishaji


Mwambie, njia ya kuwaajiri vijana wa mitaji ya chini ya m10 ni hiyo



Mwambie, Ulaya viwanda (cartels huzalisha bidhaa kisha huuza kwa middle men wanaoleta huku Afrika/Tunaonunua kwao tukifuata huko Ulaya

Tena hadi middle men wa Ulaya wanaungana kuwa Cartels

Mwambie, ili middle men wanufaike, yatupasa kujenga masoko kwa ajili ya bidhaa zetu kuuzwa kwa watu wa nje (exporters) na sio sie kununua kwa importers




Mwambie, mfumo wa sasa ni mgumu kwa beginners kushindana na cartels on field


Mwambie aweke mazingira equitable and not equal



Mwambie wenye ndoto kubwa kibiashara tunakuwa stuck kwa mazingira equal kati ya cartel na middle men ktk kutafuta bidhaa au huduma ktk vyanzo vyake na kwa kuwa , cartels ndio soko la bidhaa zetu kwa kuexport basi tunapokuwa nao equal tunakosa soko


Mwambie Ubungo iwe makutano ya middle men na cartels



Mkumbushe, kama Cartels wakitaka kuchukua bidhaa mashambani,/ majini basi awaambie waje wawekeze nao ktk uzalishaji


Bila hivyo, wawe wanunuzi kama ambavyo na sie tunanunua kwa middle men huko nje



Mwambie vijana, hasa tunaokuwa ktk umri wa miaka 20 - 35 tunahitaji kufanya mambo makubwa lakini tunakwama kwa mfumo usio wezeshi wa uchumi


Mwambie, ili uchumi unufaishe nchi
Wafanyabiashara wa ndani na nje waweze kufanya kazi vizuri wote

Wafanyabiashara wa ndani ni wafanyabiashara wote wa nje na ndani ya nchi ambao wanachukua na kuuza bidhaa zinazozalishwa nchini, iwe wanauza kwa ajili ya export au ndani (bidhaa za ndani kuuzwa nje, biashara hapa ni bidhaa)

Wafanyabiashara wa nje ni wale wote wanaochukua bidhaa nje na kuziuza ndani ya nchi(bidhaa za nje kuuzwa ndani, biashara hapa ni bidhaa sio mtu)

@according to me

Mwambie, lazima tuwezeshe wafanyabiashara wa ndani kuuza bidhaa sawa sawa au zaidi ya wafanyabiashara wa nje


Lazima bidhaa zetu zitoke nje maana ndio lengo la kuzalisha


Huu ni wakati wa kupigania bidhaa zetu kupata soko nje kama ambavyo mataifa mengi duniani yamepigania bidhaa zao kupata soko nchini mwetu



VIONGOZI WOTE, NIWAOMBE TUANZE KUWAZA JINSI YA KUKUZA UZALISHAJI WA BIDHAA NA HUDUMA ZETU KUTOKA RASILIMALI ZETU NA KISHA TUTUMIE MBINU ZOTE KUZIJENGEA SOKO NJE NA NDANI ILI TANZANIA YETU IKUE KIUCHUMI NA WATU WAWE WANUFAIKA WAKUBWA





FOR COMMON GOOD






NA




ATHUMAN HAMIS JUMA

TANGANYIKA
Huyu mtoa mada naye unaweza kuta eti ana degree toka moja ya vyuo vyetu vikuu hapa Nchini! Elimu ya Tanzania bado ni aibu kwenye USO Wa Dunia hii!
 
Back
Top Bottom