Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Ktk Kipindi kinachoandaliwa na Adam simbiye kinachorushwa na TBC, niliona na kusikia hali ya kushangaza. Achilia mbali mizaha ya Dr Rwaitama,macho yangu na akili yangu ilikuwa kwa Tendwa.
Nilikuwa nasikiliza na kuangalia kwa makini km Tendwa alikuwa akiongea yale yote kwa kuhofia kuwa kituko, au ndio kapata ujasiri against CCM km walivyo wananchi wengi, au ndio mwendelezo wa habari za unafiki ilibaada ya kuachia apewe shavu CCM.Bado sija establish the true picture.Ila nilichoona ni kuwa wote walikuwa wanakejeli panic ya CCM pale Arumeru. wote waliona jinsi gani CCM waliingia ktk deadlock na hawakuwa na kufanya.Waliongea ni jinsi gani nchi nzima walibanwa ,ingawa moderator alikuwa akizimisha Kila Prof Baregu alikuwa akichomekea mashambulizi na uhuni mwanza.Wote walionyesha kuwa CCM wanajua hawana tena hakika ya uchaguzi wowote.
I cant believe mambo yanavyoenda haraka na CCM ikiwa ni mwathirika.Nashindwa pata picture, itakuweje kwa wabunge ambao bado hawajaona hali hii mashaka na wapo tayari tayari kuingia ktk kura za maoni kwa gharama ya mamilioni ya kutosha wafilisi halafu wanaenda ktk machinjio ya wananchi.Nashindwa elewa km hakuna chama mbadala CDM wataweza wapa rescue watakao defect?nashindwa elewa km Tendwa, na Kiravu atawapa surprice wakishindwa uchaguzi kwa kuwapa jibu ambalo hawakulitegemea?
Ninachoona ni kuwa CCM watasalitiana sana, na waliojiingiza kichwakichwa wanaweza jikuta wakishtakiwa kwa makosa ya mbalimbali ya mauaji na ukatili kwa raia.Hasa wale ambao wanamini kuwafurahisha wakubwa iili wapate mlo ,ndio watajikuta kuwa wakubwa zao hawana majibu. mfano ni Pinda kushindwa toa majibu,kwa maswali ya Mbowe, Mkulo kwa Zitto na hata Mnyika alivyoweza mtoa mwanasheria wa serikali Jasho bungeni kwa michango yake.Wapo wabunge wanasheria wengi ndani ambao hawakuona chochote cha kurekebisha ktk zile sheria,Ila Mnyika aliona.Na si michango yote ya Mnyika mwanasheria alikubali kirahisi,hii inaonyesha kuwa naye bado nahitaji pata challenge na kuamshwa.
Nilikuwa nasikiliza na kuangalia kwa makini km Tendwa alikuwa akiongea yale yote kwa kuhofia kuwa kituko, au ndio kapata ujasiri against CCM km walivyo wananchi wengi, au ndio mwendelezo wa habari za unafiki ilibaada ya kuachia apewe shavu CCM.Bado sija establish the true picture.Ila nilichoona ni kuwa wote walikuwa wanakejeli panic ya CCM pale Arumeru. wote waliona jinsi gani CCM waliingia ktk deadlock na hawakuwa na kufanya.Waliongea ni jinsi gani nchi nzima walibanwa ,ingawa moderator alikuwa akizimisha Kila Prof Baregu alikuwa akichomekea mashambulizi na uhuni mwanza.Wote walionyesha kuwa CCM wanajua hawana tena hakika ya uchaguzi wowote.
I cant believe mambo yanavyoenda haraka na CCM ikiwa ni mwathirika.Nashindwa pata picture, itakuweje kwa wabunge ambao bado hawajaona hali hii mashaka na wapo tayari tayari kuingia ktk kura za maoni kwa gharama ya mamilioni ya kutosha wafilisi halafu wanaenda ktk machinjio ya wananchi.Nashindwa elewa km hakuna chama mbadala CDM wataweza wapa rescue watakao defect?nashindwa elewa km Tendwa, na Kiravu atawapa surprice wakishindwa uchaguzi kwa kuwapa jibu ambalo hawakulitegemea?
Ninachoona ni kuwa CCM watasalitiana sana, na waliojiingiza kichwakichwa wanaweza jikuta wakishtakiwa kwa makosa ya mbalimbali ya mauaji na ukatili kwa raia.Hasa wale ambao wanamini kuwafurahisha wakubwa iili wapate mlo ,ndio watajikuta kuwa wakubwa zao hawana majibu. mfano ni Pinda kushindwa toa majibu,kwa maswali ya Mbowe, Mkulo kwa Zitto na hata Mnyika alivyoweza mtoa mwanasheria wa serikali Jasho bungeni kwa michango yake.Wapo wabunge wanasheria wengi ndani ambao hawakuona chochote cha kurekebisha ktk zile sheria,Ila Mnyika aliona.Na si michango yote ya Mnyika mwanasheria alikubali kirahisi,hii inaonyesha kuwa naye bado nahitaji pata challenge na kuamshwa.