M makubazi JF-Expert Member Joined Feb 15, 2013 Posts 2,047 Reaction score 365 Oct 25, 2014 #2 Hii naona kama inafanana na ile oprisheni sangara maana watu wakubwa walipegwa na mawimmbi na kusikitika kwa hilo kosa sasa naona kama inajirudia tena
Hii naona kama inafanana na ile oprisheni sangara maana watu wakubwa walipegwa na mawimmbi na kusikitika kwa hilo kosa sasa naona kama inajirudia tena
J C JF-Expert Member Joined Dec 12, 2013 Posts 3,139 Reaction score 2,635 Oct 25, 2014 #4 Wapigwe tu nasema wapigwe tu. Nchi hii bhana ni kupiga tu sasa.
Gwangambo JF-Expert Member Joined Jun 30, 2012 Posts 3,637 Reaction score 1,208 Oct 25, 2014 #6 J C said: Wapigwe tu nasema wapigwe tu. Nchi hii bhana ni kupiga tu sasa. Click to expand... Wapigwe katangaza nia ya kugombea uprezdaa, sasa itakuwa Wauwawe tu.:shetani:
J C said: Wapigwe tu nasema wapigwe tu. Nchi hii bhana ni kupiga tu sasa. Click to expand... Wapigwe katangaza nia ya kugombea uprezdaa, sasa itakuwa Wauwawe tu.:shetani:
Kertel JF-Expert Member Joined May 11, 2012 Posts 5,640 Reaction score 5,522 Oct 25, 2014 #7 kafara ya pinda hiyo kuelekea urais 2015,
J C JF-Expert Member Joined Dec 12, 2013 Posts 3,139 Reaction score 2,635 Oct 25, 2014 #8 Gwangambo said: Wapigwe katangaza nia ya kugombea uprezdaa, sasa itakuwa Wauwawe tu.:shetani: Click to expand... Kweli itakuwa wauwawe kabisa. Aiseee!.
Gwangambo said: Wapigwe katangaza nia ya kugombea uprezdaa, sasa itakuwa Wauwawe tu.:shetani: Click to expand... Kweli itakuwa wauwawe kabisa. Aiseee!.
G geophysics JF-Expert Member Joined Nov 1, 2010 Posts 904 Reaction score 167 Oct 25, 2014 #9 Tujuzeni sisi ambao hatupo bongo...hii operation ni ya nini na wapi tena....
mtzedi JF-Expert Member Joined Dec 13, 2011 Posts 6,140 Reaction score 6,356 Oct 25, 2014 #10 kashengo said: Click to expand... Hapa wanaadhibu au wanawakomaza?
Transman JF-Expert Member Joined Mar 30, 2013 Posts 867 Reaction score 646 Oct 26, 2014 #11 inasokitisha sana