Walicho nacho Israeli ni rasilimali watu zinazojielewa yaani hizi rasilimali zao zina IQ kubwa kwenye masuala ya tecknolojia lakni mwisho wa siku hazitumiki Israeli zinatumiwa na wamarekani
Siku Israeli akisitisha uhusiano wake na marekani ndipo utashuhudia vita ya 3 ya dunia