Si kila mpinga CHADEMA ni CCM

Si kila mpinga CHADEMA ni CCM

BINAFSI SITAWAHI KUISHABIKIA CHADEMA WALA KUISUPPORT KWA NAMNA YOTOTE ILE....CHADEMA KIPO KILUTHERI ZAIDI...waislamu huwa tunaangalia penye faida nasi kinyume na hapo hatushabikii ovyo ovyo tu
Ccm imewafanya kuwa dodoki lake ndio unaona iko na manufaa nanyi?!
 
Hapa hata mia hulipwi na waliokutuma....acha UK.........a
 
Kwa maandishi na uandishi wako tu tayari unaonekana u mjinga. Tunajua ndio kuwa ACT, DOVUTWA Company na PAROLE pia ni Anti-CDM, sasa sijui kama tunatakiwa kuelezwa na wewe.

Kama huoni kuwa ni tatizo kuwa CCM basi you are beyond repair. Maana wenzako walioko huko wanajua kuna tatizo, lakini wapo huko kwa maslahi fulani, kwa hiyo wanafanya dhambi kwa makusudi. Wewe mdogo wangu usiyejua kituo wala herufi kubwa, upo upo tu, unadhani ni dini hiyo kwamba ufanye kwa imani...(tusi)

Mbona wewe huuoni upumbavu wako kwa kuita CDM ni chama cha Marangu ilhali mimi ninayekujibu kwetu Mara?
Mh! Mzee umejaaliwa kwa kuuchongoa.
Hivi, kuna mtu anayeweza kushindana nawewe hata kwa hoja zenye msingi akakushinda kweli?
 
Mie nilipokosoa ujanjaujanja wa viongozi wangu wa CDM mpaka sasa vijana wote wa kichaga hapa mtaani wananiita msaliti na wameninunia kichizi.
 
kumekuwa na dhana kwa watu wa chama cha marangu kuwa kila anayeipinga chadema basi wanasema eti ni ccm kwanza
kuna tatizo gani mtu kuwa ccm why wewe uliye upinzani ujione unaakili sana kushinda mwenzako wa ccm kwanini umdharau mwenzako kana kwamba ww ndo mjuaji wa kila kitu .Tuache ujinga huu wa kila noinga chadema ni ccm na pia muwe mnakubali kukosolewa maana mkikisilewa tu utaskia we ccm nini na matusi kibao afu bado mnamtukana mkuu hataki kukosolewa wakati nyie ndo namba moja..jumapili njema
Kwa mwaka huu nadhani huu ndio uzi mbovu kupita zote zilizoletwa kwenye jukwaa hili , hivi unajua kusoma kweli ? Maana nimejiridhisha kwamba kuandika hujui .
 
Mleta mada ww binafs unashida ya kudharau wengine harafu unataka uheshimiwe, posible? Et chama cha marangu.

Anza kujiheshim utaheshimiwa
Huu ugonjwa wa kuukataa ukweli, unatusumbua sana waTz.
Ndiyo maana hata Magu anavyopiga kavukavu watu wanamuona mbaya. Tulisharogeka kushibishwa propaganda.
Hivi mtu kusema chama cha Marangu katukana?
Kwa akili zako chadema ni chama cha kitaifa? Je kinaweza kuja kupata kiongozi mwingine toka sehemu nyingine, tofauti na kanda ya kaskazini?
Chama hicho baada ya mzee dk. Slaa kuachia, kilishabaki kuwa ni chama cha ukoo na ukabila.
Wafuasi wanaotoka kanda tofauti, ni wale wanaoburuzwa na roho zao zinawasuta, maana walikwishapokea hela za ushawishi, zilizokuwa zinamwagwa kama njugu na Mamvi kipindi cha kampeni.
Tusilazimishane kusadiki vitu ambavyo hata mtoto mdogo anavielewa wazi ukweli wake upoje.
 
Back
Top Bottom