assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
Kuelekea mbio za urais upinzani unaonekana kuwapigia chapuo hawa watu wawili. Kimsingi wote wamechoka na ni bora atafutwe kiongozi mpya atakaeleta ushindani kama mh. Zitto vinginevyo upinzani kushika madaraka itabaki kuwa ndoto.