Si Dk. Slaa au Prof. Lipumba, wote wamechoka

Si Dk. Slaa au Prof. Lipumba, wote wamechoka

assadsyria3

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
6,909
Reaction score
4,057
Kuelekea mbio za urais upinzani unaonekana kuwapigia chapuo hawa watu wawili. Kimsingi wote wamechoka na ni bora atafutwe kiongozi mpya atakaeleta ushindani kama mh. Zitto vinginevyo upinzani kushika madaraka itabaki kuwa ndoto.
 
kuelekea mbio za uraisi upinzani unaonekana kuwapigia chapuo hawa watu wawili kimsingi wote wamechoka na ni bora atafutwe kiongozi mpya atakaeleta ushindani kama mh ZITO VINGINEVO KICHAPO CHA CCM HAKIKWEPEKI

wakati mwingine jitahidi kuficha dhima ya kile unachokusudia kuwakilisha, kuwa bila baba yako zitto kupata choo kwako ni shida
 
kuelekea mbio za uraisi upinzani unaonekana kuwapigia chapuo hawa watu wawili kimsingi wote wamechoka na ni bora atafutwe kiongozi mpya atakaeleta ushindani kama mh ZITO VINGINEVO KICHAPO CHA CCM HAKIKWEPEKI

Huyo Mtu Wako Unaye MPENDA HATA MIAKA 40 HAJAFIKISHA KWA HIYO SIO HANA VIGEZO.
 
dk slaa mbowe wameisha yan km wakichaguliwa ni mteremko kwa act kuchukua nchi
 
wakati mwingine nakushauri jaribu kuficha upumbavu wako njaa isikufanye ukapoteza utu wako! nani kakwambia mimi ni mchaga au chadema??? jinga sana wewe
ss mbn una akili za kibavicha
 
kuelekea mbio za uraisi upinzani unaonekana kuwapigia chapuo hawa watu wawili kimsingi wote wamechoka na ni bora atafutwe kiongozi mpya atakaeleta ushindani kama mh ZITO VINGINEVO KICHAPO CHA CCM HAKIKWEPEKI

Hivi mnaongezewaga buku za ziada kwa thread nn?maana ndani ya siku tatu hii karibu ni thread yako ya tano na zote upuuzi mtupu,wewe huoni kama ni faida kwenu kama walichaguliwa hawa kutokana na kauli yako eti wamechoka?
 
wakati mwingine nakushauri jaribu kuficha upumbavu wako njaa isikufanye ukapoteza utu wako! nani kakwambia mimi ni mchaga au chadema??? jinga sana wewe

hahahahaa eti JINGA sana wewe

2
 
Hawa wazee uliowataja sidhan kama vyama vyao au ukawa watadhubutu kuwasimamisha na vichwa vya CCM mkuu...wataaibika vibayaa..
 
km wangemuacha zzk ss angewakomboa chagadema ss kuchamba kwingi wameshika ........
 
kuelekea mbio za uraisi upinzani unaonekana kuwapigia chapuo hawa watu wawili kimsingi wote wamechoka na ni bora atafutwe kiongozi mpya atakaeleta ushindani kama mh ZITO VINGINEVO KICHAPO CHA CCM HAKIKWEPEKI

Wakimlazimisha Slaa kuwa mgombea wao, wasije wakashangaa uchaguzi unaahirishwa kwa mgombea kufariki wakati wa kampeni, mimi naona kama babu kajichokea sana
 
km wangemuacha zzk ss angewakomboa chagadema ss kuchamba kwingi wameshika ........

Pigo la kwanza walilopata baada ya kuondokewa na ZITTO ni kubadili jina na kujiita UKAWA ili kukinurusu chama, pigo la pili ni kutumka muda mwingi kujaribu kummaliza ZITTO huku wqkiacha kushughulikia matatizo makubwa na hasa migogoro
 
wakati mwingine nakushauri jaribu kuficha upumbavu wako njaa isikufanye ukapoteza utu wako! nani kakwambia mimi ni mchaga au chadema??? jinga sana wewe

Kwa nini unaogopa kuitwa mchagga au CHADEMA mpaka ufure kiasi hicho?
 
kuelekea mbio za uraisi upinzani unaonekana kuwapigia chapuo hawa watu wawili kimsingi wote wamechoka na ni bora atafutwe kiongozi mpya atakaeleta ushindani kama mh ZITO VINGINEVO KICHAPO CHA CCM HAKIKWEPEKI
Acha umbu mbu wewe.mwambie aliyekutuma kakisea njia.sisi tuna imani kubwa sana na viongozi hawa wa ukawa.nenda lumumba kapewe buku saba yako maana nasikia ukipost ujunga kupondavupinzani basi posho yako uhakika
 
Kuelekea mbio za urais upinzani unaonekana kuwapigia chapuo hawa watu wawili. Kimsingi wote wamechoka na ni bora atafutwe kiongozi mpya atakaeleta ushindani kama mh. Zitto vinginevyo upinzani kushika madaraka itabaki kuwa ndoto.
ngoja mjikoshe mikima nyie.... awamu hii hamtoki
 
Pigo la kwanza walilopata baada ya kuondokewa na ZITTO ni kubadili jina na kujiita UKAWA ili kukinurusu chama, pigo la pili ni kutumka muda mwingi kujaribu kummaliza ZITTO huku wqkiacha kushughulikia matatizo makubwa na hasa migogoro

huwez shindana na zzk ukabaki salama. he is another level nt fm 4
 
Back
Top Bottom