Si CCM wala upinzani wote wanatetea maslahi ya 2025. Wananchi wanajipigania kivyao

commonmwananchi

JF-Expert Member
Mar 12, 2011
3,377
1,952
Wananchi v/s Tozo!
Wanasiasa v/s Magufuli!

Ukiangalia hali halisi iliyoko mtaani nchini nzima,na ukalinganisha na wanachokiongea wanasiasa waandamizi kwa Pande zote za kisiasa nchini.
Ni wazi kabisa kwamba wote wanaangalia zaidi Uchaguzi mkuu 2025.
Kuliko masahibu yanayowasibu wananchi kwa sasa.
Tunaiona CCM ikiacha sera na kuingia kwenye vita na wasiokuwepo!...
Badala ya kujikita kutatua matatizo yaliyopo nchini huko site!.
CCM hii iko busy kujitenga na CCM iliyopita!

Upinzani nao... badala ya kujikita kuikosoa serikali iliyopo madarakani, ili kutatua yanayoendelea!,

Nao wameunda ushirika wa kutafuta au kumkomoa yule wanayeamini aliwafanya kusambaratika mwaka 2020!

Imefikia hatua sasa,sio sera tena!
Upinzani wanataka kutumia hali ngumu ya mfumko wa bei,ili kuwaaminisha na kuwashawishi watanzania ili kuwasaidia kuipata katiba mpya.

Kwa kuwaaminisha kwamba Mfumko wa bei,unaletwa au kusababishwa na katiba iliyozeeeka!

Lakini agenda yao ya siri ni
Kwamba ikipatikana katiba mpya,itarahisisha safari yao ya kuisaka Ikulu.

Nasema hivyo kwa sababu,Duniani kote,kuba matatizo ya kiuchumi!ingawa yanatofautiana vyanzo vyake,kulingangana na nvhi moja kwenda nyingine.

Je! Ina maana katiba ya Dunia nzima imezeeka....kuanzia Uingereza,Ufaransa,Urusi,
Mexico na kule kwa Maduro?
Au hadi Kenya hapa jirani zetu?

Katiba ni takwa la kisiasa zaidi,na Mfumko wa bei ni takwa la usimamizi na utekelezaji mbaya wa sera madhubuti za kiuchumi.

Uchuni na Siasa ni vitu viwili tofauti,ila vinafanya kazi pamoja.Na pale wanasiasa wanapolazimisha kuendesha mambo kwa siasa bila taaluma kutumika katika maeneo husika!
Kinachokuja kutokea ni sawa na kilichopo Tanzania kwa sasa.

Sasa basi,sijui ni nini kinachoendelea,ila tunaona ghafla.....
CCM nao,wamepumbazwa na Mzimu wa kupambana na kaburi!
Bila kujua kwamba,kwa kitendo cha kuruhusu genge fulani ndani ya chama,kutumia muda mwingi kupambana na Legacy ya Magufuli.
Ndio CCM inazidi kupoteza Imani kwa wananchi mitaani na vijijini.

Kwa kumsema vibaya Magufuli nchini Tanzania,unakuwa umewathibitishia watanzania kwamba wewe ni Mwizi wa mali za Umma,Fisadi na pia watanzania wengi wanakuona kama ulishiriki uovu na sasa unajitahidi kujitakasa.

CCM hii sasa,itaendelea kuporomoka,na itabaki na kundi la wanafiki na wachumia tumbo,na itaelekea kujizika rasmi...kama sio 2025 basi haitavuka 2030!

Na pia Upinzani uliopo,hautaweza kuitimiza ndoto ya kuingia Ikulu,kama wataendelea kudhania kwamba wanawafurahisha watanzania kwa kumkejeli Magufuli.

Magufuli aliingia mioyoni na vichwani mwa watanzania wengi.

Ule Umati uliomlilia sio wa kubezwa,na bado upo mitaani ukilipishwa Tozo!

Wanasiasa wa Tanzania mnapaswa kujifunza alama za nyakati.
Magufuli hadhihakiwi na aliyemdhihaki akaacha kuangukia Pua.
FB_IMG_1675569158886.jpg
JamiiForums-689444155.jpg
 
Watanzania wengi hawajui wanataka nini kwa hiyo mwenye nguvu ndio ataendelea kutawala mpaka tutakapojielewa, JPM alikuwa kiongozi mkubwa na ukiwa kiongozi kila maamuzi unayofanya mengine huwa ni neema na machungu kwa wengine so kusifiwa na kukosolewa ni kawaida tuu
 
Watanzania wengi hawajui wanataka nini kwa hiyo mwenye nguvu ndio ataendelea kutawala mpaka tutakapojielewa, JPM alikuwa kiongozi mkubwa na ukiwa kiongozi kila maamuzi unayofanya mengine huwa ni neema na machungu kwa wengine so kusifiwa na kukosolewa ni kawaida tuu
Umeongea pointi kubwa hapo....
Mimi nimekuelewa kwamba...
"watanzania tunaumizwa na ujuha wetu"

Au?
 
Kwa hali halisi iliyoko mtaani nchini nzima,na wanachokiongea wanasiasa waandamizi kwa Pande zote.ni wazi kabisa,wanaangalia Uchaguzi mkuu 2025,kuliko masahibu yanayowasibu wananchi kwa sasa.
Tunaiona CCM ikiacha sera na kuingia kwenye vita na wasiokuwepo!...badala ya kujibu hoja za matatizo yaliyopo,CCM hii imekalia kujitenga na CCM iliyopita!

Upinzani badala ya kuikosoa serikali iliyopo madarakani, ili kutatua yanayoendelea!,Nao wameunda ushirika wa kutafuta au kumkomoa yule aliyewafanya kusambaratika!

Imefikia hatua sasa,sio sera tena!
Upinzani wanataka kutumia hali ngumu ya mfumko wa bei,ili kuwashinikiza na kuwaaminisha watanzania kuwasaidia kuipata katiba mpya.
Kwa kuwaaminisha kwamba Mfumko wa bei,unaletwa au kusababishwa na katiba iliyozeeeka!
Lakini agenda yao ya siri ni
Kwamba ikipatikana katiba mpya,itarahisisha safari yao ya kuisaka Ikulu.

CCM nao,wamepumbazwa na Mzimu wa kupambana na kaburi!
Bila kujua kwamba,kwa kitendo cha kuruhusu genge fulani ndani ya chama,kutumia muda mwingi kupambana na Legacy ya Magufuli.
Ndio CCM inazidi kupoteza Imani kwa wananchi mitaani na vijijini.

Kwa kumsema vibaya Magufuli nchini Tanzania,unakuwa umewathibitishia watanzania kwamba wewe ni Mwizi wa mali za Umma,Fisadi na pia watanzania wengi wanakuona kama ulishiriki uovu na sasa unajitahidi kujitakasa.

CCM hii sasa,itaendelea kuporomoka,na itabaki na kundi la wanafiki na wachumia tumbo,na itaelekea kujizika rasmi...kama sio 2025 basi haitavuka 2030!

Na pia Upinzani uliopo,hautaweza kuitimiza ndoto ya kuingia Ikulu,kama wataendelea kudhania kwamba wanawafurahisha watanzania kwa kumkejeli Magufuli.

Magufuli aliingia mioyoni na vichwani mwa watanzania wengi.

Ule Umati uliomlilia sio wa kubezwa,na bado upo mitaani ukilipishwa Tozo!

Wanasiasa wa Tanzania mnapaswa kujifunza alama za nyakati.
Magufuli hadhihakiwi na aliyemdhihaki akaacha kuangukia Pua.View attachment 2506700View attachment 2506729
Good!
Kumbe CCM wanalishambulia hilo shetani lenu la Chattle, upinzani pia wanalishambulia hilo hilo shetani lenu la Chattle.
Sasa nyie mnaosema eti Magufuli yumo vichwani mwenu hamieni Burundi.
Mana ukichagua CCM umemkataa Ngosha kwa sasa hv na ukichagua upinzani pia umelikataa liMungumtu lenu.
Mbona mtakoma kwa sabb hatutoacha kuutaja ushenzi alotufanyia muovu yule

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Jioiganie na kujitetea mwenyewe. Mapambano yqnaanza na wewe.

Kama unadanga, unabet, unafanya umachinga, unacheza pool na kula bange tu halafu unasubiri ccm na upinzani ndiyo wakupambanie utasubiri sana
 
Hakuna ujuha hapo.
We hujiulizi why not Mkapa au Nyerere?

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Ukisena hivyo nitakupinga,kwa sababu hao mazingira waliyotawala au kuongoza.
Ni tofauti na mazingira ya sasa.
Nyerere aliongoza nchi,wakati agenda kubwa ya wakati huo ikiwa ni kulikomboa bara ka afrika toka kwa wakoloni.

Mkapa aliingia kipindi Perestroika inaanguka Duniani.
Ubepari ukianza kushamiri Duniani.
Sera na Matakwa ya siasa za Dunia kwa nyakati tofauti hupelekea pia utofauti wa matatizo ya nyakati tofauti.
 
Ukisena hivyo nitakupinga,kwa sababu hao mazingira waliyotawala au kuongoza.
Ni tofauti na mazingira ya sasa.
Nyerere aliongoza nchi,wakati agenda kubwa ya wakati huo ikiwa ni kulikomboa bara ka afrika toka kwa wakoloni.

Mkapa aliingia kipindi Perestroika inaanguka Duniani.
Ubepari ukianza kushamiri Duniani.
Sera na Matakwa ya siasa za Dunia kwa nyakati tofauti hupelekea pia utofauti wa matatizo ya nyakati tofauti.
Usipindishe wewe, ushenzi aloufanya Magufuli kwenye chaguzi za 2019 na 2020 ht Mkapa angeweza kutufanyia.


Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Jioiganie na kujitetea mwenyewe. Mapambano yqnaanza na wewe.

Kama unadanga, unabet, unafanya umachinga, unacheza na kula bange tu halafu unasubiri ccm na upinzani ndiyo wakupambanie utasubiri sana
Hayo ni mawazo ya kina Mwigulu & Co...

Ni kauli za mwizi aliyefanikiwa kuvunja na kuiba usiku!
Kisha anavuta sigara sasa hivi kijiweni.
Akisubiri wateja waje kuchukua mzigo!

Huko vijijini wana Bet wapi?
Wagonjwa mahospitalini, wana Bet wapi?
Jitambuwe na kujua kile unachokiandika,kitasomwa na wengi
Na sio wote wana akili za kuvukia barabara kama zako.
 
Usipindishe wewe, ushenzi aloufanya Magufuli kwenye chaguzi za 2019 na 2020 ht Mkapa angeweza kutufanyia.


Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Je!
Wakati wa Mkapa,wapinzani mliingia Ikulu?
Wakati wa Mkapa walikufa watu wangapi kule Zanzibar?

Wakati wa Mkapa,nini kilitokea Pale Mwembechai?

Wewe inaonekana huna ulijualo kwenye siasa za nchi hii.
Bali ni aina ya wavivu mnaovizia short cuts za maisha kupitia Siasa!

Mnaogeuza Siasa kuwa ajira,bila kuwa na kipaji cha siasa nchini.
 
Je!
Wakati wa Mkapa,wapinzani mliingia Ikulu?
Wakati wa Mkapa walikufa watu wangapi kule Zanzibar?

Wakati wa Mkapa,nini kilitokea Pale Mwembechai?

Wewe inaonekana huna ulijualo kwenye siasa za nchi hii.
Bali ni aina ya wavivu mnaovizia short cuts za maisha kupitia Siasa!

Mnaogeuza Siasa kuwa ajira,bila kuwa na kipaji cha siasa nchini.
Yaani wewe lia, fura kwa hasira, vimba ht upasuke kazi bure.
Hatutoacha kulisema vibaya shetani lenu la Chattle.
Na tambua fika kila chama sasa hv kinalisema vibaya vibaya liMungumtu lenu.
Mnaolisifia hamieni Burundi.


Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Yaani wewe lia, fura kwa hasira, vimba ht upasuke kazi bure.
Hatutoacha kulisema vibaya shetani lenu la Chattle.
Na tambua fika kila chama sasa hv kinalisema vibaya vibaya liMungumtu lenu.
Mnaolisifia hamieni Burundi.


Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Ila mtasema,na mwisho mtaangukia Pua mara ya pili.
Shida zinazokukumba sasa,bado zitaendelea kuwepo!
Magufuli hachafuki kamwe!
Mnaochafyka mmebaki nyie hao hao vyeti fekiiii!
JamiiForums-689444155.jpg
 
Wananchi v/s Tozo!
Wanasiasa v/s Magufuli!

Ukiangalia hali halisi iliyoko mtaani nchini nzima,na ukalinganisha na wanachokiongea wanasiasa waandamizi kwa Pande zote za kisiasa nchini.
Ni wazi kabisa kwamba wote wanaangalia zaidi Uchaguzi mkuu 2025.
Kuliko masahibu yanayowasibu wananchi kwa sasa.
Tunaiona CCM ikiacha sera na kuingia kwenye vita na wasiokuwepo!...
Badala ya kujikita kutatua matatizo yaliyopo nchini huko site!.
CCM hii iko busy kujitenga na CCM iliyopita!

Upinzani nao... badala ya kujikita kuikosoa serikali iliyopo madarakani, ili kutatua yanayoendelea!,

Nao wameunda ushirika wa kutafuta au kumkomoa yule wanayeamini aliwafanya kusambaratika mwaka 2020!

Imefikia hatua sasa,sio sera tena!
Upinzani wanataka kutumia hali ngumu ya mfumko wa bei,ili kuwaaminisha na kuwashawishi watanzania ili kuwasaidia kuipata katiba mpya.

Kwa kuwaaminisha kwamba Mfumko wa bei,unaletwa au kusababishwa na katiba iliyozeeeka!

Lakini agenda yao ya siri ni
Kwamba ikipatikana katiba mpya,itarahisisha safari yao ya kuisaka Ikulu.

Nasema hivyo kwa sababu,Duniani kote,kuba matatizo ya kiuchumi!ingawa yanatofautiana vyanzo vyake,kulingangana na nvhi moja kwenda nyingine.

Je! Ina maana katiba ya Dunia nzima imezeeka....kuanzia Uingereza,Ufaransa,Urusi,
Mexico na kule kwa Maduro?
Au hadi Kenya hapa jirani zetu?

Katiba ni takwa la kisiasa zaidi,na Mfumko wa bei ni takwa la usimamizi na utekelezaji mbaya wa sera madhubuti za kiuchumi.

Uchuni na Siasa ni vitu viwili tofauti,ila vinafanya kazi pamoja.Na pale wanasiasa wanapolazimisha kuendesha mambo kwa siasa bila taaluma kutumika katika maeneo husika!
Kinachokuja kutokea ni sawa na kilichopo Tanzania kwa sasa.

Sasa basi,sijui ni nini kinachoendelea,ila tunaona ghafla.....
CCM nao,wamepumbazwa na Mzimu wa kupambana na kaburi!
Bila kujua kwamba,kwa kitendo cha kuruhusu genge fulani ndani ya chama,kutumia muda mwingi kupambana na Legacy ya Magufuli.
Ndio CCM inazidi kupoteza Imani kwa wananchi mitaani na vijijini.

Kwa kumsema vibaya Magufuli nchini Tanzania,unakuwa umewathibitishia watanzania kwamba wewe ni Mwizi wa mali za Umma,Fisadi na pia watanzania wengi wanakuona kama ulishiriki uovu na sasa unajitahidi kujitakasa.

CCM hii sasa,itaendelea kuporomoka,na itabaki na kundi la wanafiki na wachumia tumbo,na itaelekea kujizika rasmi...kama sio 2025 basi haitavuka 2030!

Na pia Upinzani uliopo,hautaweza kuitimiza ndoto ya kuingia Ikulu,kama wataendelea kudhania kwamba wanawafurahisha watanzania kwa kumkejeli Magufuli.

Magufuli aliingia mioyoni na vichwani mwa watanzania wengi.

Ule Umati uliomlilia sio wa kubezwa,na bado upo mitaani ukilipishwa Tozo!

Wanasiasa wa Tanzania mnapaswa kujifunza alama za nyakati.
Magufuli hadhihakiwi na aliyemdhihaki akaacha kuangukia Pua.View attachment 2506700View attachment 2506729
Huu ni ukweli ambao watu wengi hawapendi kuusikia
 
Ila mtasema,na mwisho mtaangukia Pua mara ya pili.
Shida zinazokukumba sasa,bado zitaendelea kuwepo!
Magufuli hachafuki kamwe!
Mnaochafyka mmebaki nyie hao hao vyeti fekiiii!View attachment 2506845
Humjui aliyeangukia pua!
Mliomtegemea km Mungu wenu sasa mnatapatapa misukule hamna wa kuwalisha tena.
Sie huku ni kicheko, uhuru wetu umerudi kwani lile shetani lenu la Chattle halirudi hatuna hofu tena.
Amekufa na licheti lake feki

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Wananchi v/s Tozo!
Wanasiasa v/s Magufuli!

Ukiangalia hali halisi iliyoko mtaani nchini nzima,na ukalinganisha na wanachokiongea wanasiasa waandamizi kwa Pande zote za kisiasa nchini.
Ni wazi kabisa kwamba wote wanaangalia zaidi Uchaguzi mkuu 2025.
Kuliko masahibu yanayowasibu wananchi kwa sasa.
Tunaiona CCM ikiacha sera na kuingia kwenye vita na wasiokuwepo!...
Badala ya kujikita kutatua matatizo yaliyopo nchini huko site!.
CCM hii iko busy kujitenga na CCM iliyopita!

Upinzani nao... badala ya kujikita kuikosoa serikali iliyopo madarakani, ili kutatua yanayoendelea!,

Nao wameunda ushirika wa kutafuta au kumkomoa yule wanayeamini aliwafanya kusambaratika mwaka 2020!

Imefikia hatua sasa,sio sera tena!
Upinzani wanataka kutumia hali ngumu ya mfumko wa bei,ili kuwaaminisha na kuwashawishi watanzania ili kuwasaidia kuipata katiba mpya.

Kwa kuwaaminisha kwamba Mfumko wa bei,unaletwa au kusababishwa na katiba iliyozeeeka!

Lakini agenda yao ya siri ni
Kwamba ikipatikana katiba mpya,itarahisisha safari yao ya kuisaka Ikulu.

Nasema hivyo kwa sababu,Duniani kote,kuba matatizo ya kiuchumi!ingawa yanatofautiana vyanzo vyake,kulingangana na nvhi moja kwenda nyingine.

Je! Ina maana katiba ya Dunia nzima imezeeka....kuanzia Uingereza,Ufaransa,Urusi,
Mexico na kule kwa Maduro?
Au hadi Kenya hapa jirani zetu?

Katiba ni takwa la kisiasa zaidi,na Mfumko wa bei ni takwa la usimamizi na utekelezaji mbaya wa sera madhubuti za kiuchumi.

Uchuni na Siasa ni vitu viwili tofauti,ila vinafanya kazi pamoja.Na pale wanasiasa wanapolazimisha kuendesha mambo kwa siasa bila taaluma kutumika katika maeneo husika!
Kinachokuja kutokea ni sawa na kilichopo Tanzania kwa sasa.

Sasa basi,sijui ni nini kinachoendelea,ila tunaona ghafla.....
CCM nao,wamepumbazwa na Mzimu wa kupambana na kaburi!
Bila kujua kwamba,kwa kitendo cha kuruhusu genge fulani ndani ya chama,kutumia muda mwingi kupambana na Legacy ya Magufuli.
Ndio CCM inazidi kupoteza Imani kwa wananchi mitaani na vijijini.

Kwa kumsema vibaya Magufuli nchini Tanzania,unakuwa umewathibitishia watanzania kwamba wewe ni Mwizi wa mali za Umma,Fisadi na pia watanzania wengi wanakuona kama ulishiriki uovu na sasa unajitahidi kujitakasa.

CCM hii sasa,itaendelea kuporomoka,na itabaki na kundi la wanafiki na wachumia tumbo,na itaelekea kujizika rasmi...kama sio 2025 basi haitavuka 2030!

Na pia Upinzani uliopo,hautaweza kuitimiza ndoto ya kuingia Ikulu,kama wataendelea kudhania kwamba wanawafurahisha watanzania kwa kumkejeli Magufuli.

Magufuli aliingia mioyoni na vichwani mwa watanzania wengi.

Ule Umati uliomlilia sio wa kubezwa,na bado upo mitaani ukilipishwa Tozo!

Wanasiasa wa Tanzania mnapaswa kujifunza alama za nyakati.
Magufuli hadhihakiwi na aliyemdhihaki akaacha kuangukia Pua.View attachment 2506700View attachment 2506729
Jambo moja la kufurahia sana sasa hv ni kwamba vyama vyote havikubaliani na uovu wa Magufuli.
Hamuwezi tena kutufunga midomo kulisema shetani lile.
Sio mitandaoni, magazetini, TV mpk mikutano ya hadhara.
Sasa sijui mtamshawishi nani awaelewe

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Jambo moja la kufurahia sana sasa hv ni kwamba vyama vyote havikubaliani na uovu wa Magufuli.
Hamuwezi tena kutufunga midomo kulisema shetani lile.
Sio mitandaoni, magazetini, TV mpk mikutano ya hadhara.
Sasa sijui mtamshawishi nani awaelewe

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Vyama vya siasa ni tofauti na Umma wa watanzania!

Ndio maana nikasema....

Wananchi v/s Tozo!
Wanasiasa v/ Magufuli!

Halafu twende 2025 muone majibu......
 
Jioiganie na kujitetea mwenyewe. Mapambano yqnaanza na wewe.

Kama unadanga, unabet, unafanya umachinga, unacheza na kula bange tu halafu unasubiri ccm na upinzani ndiyo wakupambanie utasubiri sana
Kwahiyo ili ccm na upinzani wakupiganie inatakiwa uweje au uwe unashabikia siasa muda wote? Au uache shughuli zako na kwenda kusikiliza mikutano ya kisiasa ya upinzani au kuwa chawa wa Samia?
 
Humjui aliyeangukia pua!
Mliomtegemea km Mungu wenu sasa mnatapatapa misukule hamna wa kuwalisha tena.
Sie huku ni kicheko, uhuru wetu umerudi kwani lile shetani lenu la Chattle halirudi hatuna hofu tena.
Amekufa na licheti lake feki

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Kama mlikuwa mnaishi kwa hofu ni nyinyi tu mkuu tena wachache sana ukilinganisha na Tanzania nzima ya watu M60, wengine hatukuwahi kuishi kwa hofu hatuna cha kutufanya tuishi kwa hofu.
 
Back
Top Bottom