Shule za Msingi wafundishe matumizi ya benki

N'yadikwa

JF-Expert Member
Aug 10, 2014
6,825
9,532
Yaani ukiingia benki lazima utakutana na Mtanzania ambae hajui kujaza pay in slip au hata money transfer forms kv TT. Hii ni elimu ndogo kabisa ambayo wananchi wanafaa kujifunza Shule ya Msingi au Sekondari yakiwemo masuala ya posta na simu.

No wonder tuna watu wanapigwa sana kwenye masuala ya miamala sababu ya ujinga. Wekeni topics kama hizi za fedha kwenye somo la hesabu in replacement of topics ambazo hazina relevance kwenye maisha ya kawaida.

Tatizo hili lipo hata kwa wasomi kuanzia form 4 hadi graduates.

Nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono hoja,na wawafundishe watu kuvaa T-shirt zenye maandishi wanayoelewa maana yake.

Screenshot_2020-01-17-15-43-53-1.jpeg


dodge
 
Yaani ukiingia benki lazima utakutana na Mtanzania ambae hajui kujaza pay in slip au hata money transfer forms kv TT. Hii ni elimu ndogo kabisa ambayo wananchi wanafaa kujifunza Shule ya Msingi au Sekondari yakiwemo masuala ya posta na simu.

No wonder tuna watu wanapigwa sana kwenye masuala ya miamala sababu ya ujinga. Wekeni topics kama hizi za fedha kwenye somo la hesabu in replacement of topics ambazo hazina relevance kwenye maisha ya kawaida.

Tatizo hili lipo hata kwa wasomi kuanzia form 4 hadi graduates.

Nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni sahihi kabisa mkuu. Lazima tufundishe vitu vilivyoko kwenye maisha yenyewe mfano miamala ya kifedha kama hiyo ikiwemo pia hii ya kwenye simu. Najiuliza hadi leo mada ya namba za kirumi shule ya msingi kuanzia darasa la nne hadi la saba zinasaidia nini kikubwa cha kwenye maisha au zinatumika wapi!
 
Yaani nilishawahi kujiuliza pia...hizo topics ndio ziwe substituted na mambo kama haya halisi...Tanzania tuna generational mutation hasa kwenye kuyakabili maisha kwa sababu ya tofauti ya ubora wa masomo....kizazi cha akina Mkapa ni tofauti na cha 70's na 90's kwa sababu ya mabadiliko ya elimu ktk vipindi hivyo.

Kwa mfano kizazi changu tulisoma kilimo, sayansikimu etc hawa wa leo hata kutengeneza tuta la nyanya hawawezi au sema kanuni rahisi kabisa za biashara kitabuni.

Wazee wetu enzi za ushirika waliweza sababu haya mambo yalikuwemo kwenye mitaala ya wakati huo...kuna pahala tunafaa kubadilisha
Hii ni sahihi kabisa mkuu. Lazima tufundishe vitu vilivyoko kwenye maisha yenyewe mfano miamala ya kifedha kama hiyo ikiwemo pia hii ya kwenye simu. Najiuliza hadi leo mada ya namba za kirumi shule ya msingi kuanzia darasa la nne hadi la saba zinasaidia nini kikubwa cha kwenye maisha au zinatumika wapi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom