Mdomomrefu
Member
- Jan 26, 2022
- 19
- 17
- Thread starter
- #21
Huyo Ni headmaster ambaye pia nae anapambania haki zake anaitwa mbunda D alipokea uhead master baada ya mbunda wa kwanza kustaafuNdio huyu mleta mada
Huyo Ni headmaster ambaye pia nae anapambania haki zake anaitwa mbunda D alipokea uhead master baada ya mbunda wa kwanza kustaafuNdio huyu mleta mada
Nikuombe; unapoandika mitandaoni siyo wote wanaosoma wanaishi Njombe au TZ. Elezea kila mtu aelewe.Ilikua Ni Mali ya shirika la NDDT
NDDT Ni kifupi cha Njombe District Development TrustNikuombe; unapoandika mitandaoni siyo wote wanaosoma wanaishi Njombe au TZ. Elezea kila mtu aelewe.
Sasa NDDT ni shirika gani TZ? Bado unakuwa ambiguous!
Mbunda D ???Waliowahi kusoma mtwss aliekua headmaster wenu Mbunda amefariki dunia wanazika kesho jumatatu
Mbunda wa zamani?Mbunda D ???
Rest in peace my former headmaster nilipita hapo kidato Cha nne miaka hiyo baada ya kufurushwa seminarini,,alikua na HILUX yake nyeupe akamsalimie Sana NYUDIKEWaliowahi kusoma mtwss aliekua headmaster wenu Mbunda amefariki dunia wanazika kesho jumatatu
Hiv nyudike amefariki...mwalim wangu yule mzeeRest in peace my former headmaster nilipita hapo kidato Cha nne miaka hiyo baada ya kufurushwa seminarini,,alikua na HILUX yake nyeupe akamsalimie Sana NYUDIKE
Alifariki miaka Kama mitatu imepitaHiv nyudike amefariki...mwalim wangu yule mzee
.....Mtwango Middle School ilikuwa ya serikali....mie nimetokea hapo 1972 !Huko nyuma iliitwa Mtwango Middle School nadhani ilikuwa mali ya serikali ya kikoloni au mission, wakaja NDDT wakaichukua, nadhani baadaye nao wameshindwa kuiendesha
....na Head master wetu alikuwa ni Mr Mganga...mwenyeji wa TangaNdiyo
Nyudike RIP, alinishika siku moja na jamaa yangu tulienda nje ya shule aseee kiliwaka sio poaHiv nyudike amefariki...mwalim wangu yule mzee
Samahani MKuu sikujua kuwa kwamba Kuna slow learners jfAliyeleta mada kama ni mwalimu kwa uandishi huo anaonyesha kichwani hamna kitu kuandika tu shida kuendesha shule ndio ataweza?