Kwani hujui ni akina nani? Catholics!!!! as usualInamilikiwa na nani shule hii?
Really ni mazingira murua kabisa ya kusomea!
Who removed my commet? F**k u next tym!
Kwani hujui ni akina nani? Catholics!!!! as usual
true skuli iko sawa sana kwa wasichana wasiopenda kutembea hovyo..!!!!!ni shule ya wasichana na ni ya catholic. Lushoto ni sehemu nzuri sana kwa shule kwasababu hakuna malaria sana kwasababau ya baridi. Lakini ukishuka mombo tu ni sehemu mbaya sana kwa wanafunzi na pamejaa magonjwa chungu nzima!. Hivyo kama unataka kumpeleka mtoto wako shule ni lazima uhakikishe kwamba hatorokitotoki shule kwenda mombo
Inamilikiwa na nani shule hii?
Really ni mazingira murua kabisa ya kusomea!