kimu mazengo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 927
- 733
Shule ya msingi chicheho, iliyopo kata ya sanza wilaya manyoni ina upungufu mkubwa wa madawati (nusu ya shule nzima wanafunzi wanakaa chini ) hali ni mbaya sana.
Wazazi wameanza kuchangishana.wapinzani walituchelewesha sana
Mbunge wao anasema ni kazi ya VEO.yeye hahusiki.wapinzani walituchelewesha sana
Kwanini ???
Zipo chini.endelea kusoma Uzi chiniPicha hazifunguki
Asante kwa ku editZipo chini.endelea kusoma Uzi chini
Nionyeshe mtoto wa mbunge wao
Hapo hamna hata mtoto wa diwani .watoto wa wote wanasoma shule binafsi.Nionyeshe mtoto wa mbunge wao
Halafu mataahira wanaendelea kukiunga mkono hicho chama cha mahayawani mkono, chama kinachowapa bora elimu na sio elimu bora.Hapo hamna hata mtoto wa diwani .watoto wa wote wanasoma shule binafsi.