Shule ya Ilboru yafungwa

Shule ya Ilboru yafungwa

The School has inspired lives of Many People, Long Live Ilboru Secondary School
Huwaga nakuwaga Mnyonge sana nikisikia kuwa eti Mwigulu nae alipitia pale
 
siwezi kukushangaa wewe bado ni member hata miezi miwili hujamaliza tangu ujiunge jf ndo maana unaweka imekaa kiajabu ajabu haina kichwa wala miguu ili uwe wa kwanza kupost. Kwa hiyo likizo ya hao wanafunzi inamalizika lini.
 
The School has inspired lives of Many People, Long Live Ilboru Secondary School
Huwaga nakuwaga Mnyonge sana nikisikia kuwa eti Mwigulu nae alipitia pale

Kwenye msafara wa mamba kenge pia yupo hata mmoja.
 
Ilboru imefungwa likizo au kuna tatizo gani. Unatoa mada isiyoeleweka na haina hata ufafanuzi.
 
asante kwa taarifa fupi,. Wenye taarifa kamili watujuze jamani,.. KULIKONI??
 
The School has inspired lives of Many People, Long Live Ilboru Secondary School
Huwaga nakuwaga Mnyonge sana nikisikia kuwa eti Mwigulu nae alipitia pale

Hakustahili kukaa hata bweni la mirembe................. opposite na msikiti! Shame on him!
 
Mngese we!opposite na masjid ni rum7..acha ujinga.
 
Hii na Mzumbe huwa wanachaguliwa vijana ambao ni very bright. Lakini siku za karibuni zimekuwa ni migomo na maandamano kila mara. Sujui kitu gani kinaendelea. Naskia Ilboru wamewapa wanafunzi 24hrs wasiwapo shuleni kuanzia jana. Uongozi wa hizi shule pia umulikwe!
 
Hii na Mzumbe huwa wanachaguliwa vijana ambao ni very bright. Lakini siku za karibuni zimekuwa ni migomo na maandamano kila mara. Sujui kitu gani kinaendelea. Naskia Ilboru wamewapa wanafunzi 24hrs wasiwapo shuleni kuanzia jana. Uongozi wa hizi shule pia umulikwe!

Tuanze kwanza na Mulugo
 
Hii kweli ni "breking news" kama ulivyosema mleta mada.
 
Mbona wanaifunga shule yetu, kulikoni? sidhan kama kuna shule yenye mazingira mazuri ya kusome kama hii nilifuhia mwanzo mwisho.
 
Back
Top Bottom