Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,419
Nakumbuka nilipokuwa undergraduate, siku ya kwanza tuu kuanza muhula, Mwalimu alisema" When I give you guys any assignment, Please do not use Wikipedia as a source of your info" wanafunzi tukamuuliza kwanini? Akasema "Wikipedia is not a reliable source, anybody can post anything at any time, it is good site to get an idea of something, but get reliable sources". Pia siku hiyo hiyo mwalimu huyo huyo pamoja na wengine walisoma school policy "Plagiarism is a serious offence. It is often easy to detect. The School will use a number of detection methods to screen coursework. When plagiarism is detected, penalties appropriate to the problem will be applied, the Head of School will be informed as well as the head of Faculty and your academic record may be amended permanently" Leo hii nimesoma moja ya article zako hapa katika JF, umenukuu word to word maana ya Brigade kutoka Wikipedia bila ya kuonyesha kuwa siyo maneno yako. Huo ni wizi kitaaluma, ambao unaweza kusababisha vyeti vyako vya shule kuwa revoked, kujivunjia heshima kama kiongozi msomi mbele ya wasomi wenzako. Kuna source nyingi zinazokubarika kitaaluma kama dictionary, books, articles, and you name it, but not Wikipedia. Pia kama unanukuu kazi ya mtu, lazima ueleze waziwazi wapi imepatikana. Mwigulu, you 're more than welcome to ask any question concern this topic, I will do my best to help you.