Shule ya bure kwa First class Economist, Mwigulu

Shule ya bure kwa First class Economist, Mwigulu

Mbona mimi nimeelewa! au wewe mwenzetu una kichwa kigumu?
"Did I told you" ndio hata mimi nilimwelewa, lakini ni vizuri kufanya masahihisho kabla ya kumtukana mtu. Alitakiwa kuandika hivi "Did I tell you" kuwa sahihi na fasaha. HAMY-D acha mapenzi, mtoto umleavyo, ndivyo akuavyo. Nimemuelewa sana Mh Rais alipokuwa anaongelea suala la Vikundi vya ukakamavu. Mh JK akusema CDM, bali alisema si halali kisheria kuanzisha vikundi hivi. Upo uwezekano Mwigulu amefungua vikundi hivi bila ya kumueleza mwenyekiti wake ukweli. Nina uhakika kabisa malengo ya green guard yameharibiwa na Mwigulu, angalia hata mavazi yake yamekwenda too far.
 
You're just beating a dead horse and shooting yourself in the foot.

How can you accuse someone for plagiarism wakati hata hujui ni nani aliyeandika hicho unachodai umekitoa Wikipedia.

Wewe mwenyewe unasema mtu yeyote anaweza kuandika chochote na kukiweka kwenye Wikipedia.

Unapata uhalali gani wa kusema aliyekileta JF siye aliyekiweka hapo Wikipedia.

Kama huwezi hata kufahamu kile ulichokiandika kimetoa jibu chenyewe, utawezaje kufundisha watu wenye mboni mbili.

Msaada wako unawafaa bavicha lakini siyo kwa watu wenye ufahamu.

Kichaa mwingine huyu? ww hv unajua au umeandika tu. and why bavicha? akili ndogo kutawala akili kubwa -pinda
 
Did I told you to talk to me!!

Don't you know the difference between communication through talking and writing?.

Halafu eti unaweka INVITATION kuelimisha watu. I'm even feeling sorry kwa wale watakaovaa mkenge.

Mimi ninajibu hoja iliyowekwa kwenye jukwaa la siasa JF bila kujali nani aliweka na nani atasoma. Kama ulipata msukumo wa kujaribu kujibu hoja, huo ni mtazamo wako au kama huna muda, hilo ni tatizo lako. Hunufahamu, sikufahamu.

Usitegemee FREE RIDER kwa kuweka mabandiko ambayo hayana mantiki yeyote. I'll never stop dessecting them.

MAKUBWA!! Huko ccm ni majanga, majanga matupu. huyu nae utaambiwa ni Graduate! mmh anasema " did i told you" kweli? sema did i tell you!! tutachekwa na Wakenya milele. usikute huko magambani huyu ndio msemaji wao.
 
Did I told you to talk to me!!

Don't you know the difference between communication through talking and writing?.

Halafu eti unaweka INVITATION kuelimisha watu. I'm even feeling sorry kwa wale watakaovaa mkenge.

Mimi ninajibu hoja iliyowekwa kwenye jukwaa la siasa JF bila kujali nani aliweka na nani atasoma. Kama ulipata msukumo wa kujaribu kujibu hoja, huo ni mtazamo wako au kama huna muda, hilo ni tatizo lako. Hunufahamu, sikufahamu.

Usitegemee FREE RIDER kwa kuweka mabandiko ambayo hayana mantiki yeyote. I'll never stop dessecting them.
Did I told you!!!! Uh!
 
post nyingine humu jf ni za kujaza server tu na kupoteza muda wa gt.
 
Back
Top Bottom