Asante sna mkuu nitajitaidi sana kwani changamoto nilizozipata sipendi tena zije kunitokea..Asante sanaPole Na ongera Mkuu! Wewe n mmoja wa watu( mwanafunzi) wa kuigwa katka jamii kwani hukukata tamaaa....pambana had I mwisho hakika utafanikiwa....cha msingi jipange kusoma shule yeyote endapo utakosa shule ya gharama nafuu...ila naimani utapata komaaa ktk kusoma kwa moyo Na hali ya MTU ndio muhimu ktk shule...much respect to you
Kipato ulichonacho hatukijui.Habari za mchana wana jamvi naombeni msaada kidogo mimi nili rudia mtiani wangu wa kidato cha nne mwaka jana na kupata division IV 26 nina CREDIT 4 ktk masomo ya History Civics Kiswahil na English naombeni kufahamu ni shule gani hapo Dar nzuri kwa masomo hayo ya Hkl na yenye ada ndogo kulingana na kipato nilicho nacho.
Kaka mimi ni mgeni na Advance thats why nataka kujua pili nina ndoto za kusoma degree sasa naona shule nzur yawz fanya matoekeo yangu kuwa mazuri...Iwe chin ya M1.3Kipato ulichonacho hatukijui.
Af kama hadi HKL unatafuta shule nzuli we nae ni jipu huna dawa zaidi ya kutumbuliwa.
Kwa ada hyo labda day,boarding hupati,st Anne Marie IPO ila ada ni kama 2.5m boardingKaka mimi ni mgeni na Advance thats why nataka kujua pili nina ndoto za kusoma degree sasa naona shule nzur yawz fanya matoekeo yangu kuwa mazuri...Iwe chin ya M1.3
Ipo mbezi kimara mkuuAsante mkuu...je hiyo st Anne ipo sehemu gani hapo Dar??
iko mbezi kwa musuguri,barabara ya morogoroAsante mkuu...je hiyo st Anne ipo sehemu gani hapo Dar??