Shule imepewa Laki na Nusu ya Elimu Bure, hii ni haki kweli?

balimar

JF-Expert Member
Sep 18, 2015
7,738
13,653
Inauma sana Mkuu unapoambiwa kuwa endesha shule kwa Mia hamsini elfu tu. Halafu mnawataka wazazi wakae pembeni. Jaman michango haikwepeki na bure amekufa tushazika. Ni hivi hata young couple haiwezi tumia gharama hiyo kwa mwezi. Huu ni michango wa watoto kumi tu wanakuja kuandikishwa. Private hela hii hata uniform ya mwanao yaweza pelea. Nadhan wakati umefika tuchangie ili kunusuru hii hali. Jaman hii amount hata ktk baadhi ya harusi huuoni mnusu leo ihutumie watoto mia 4.
 
Tunakoelea hii sasa ndio itakuwa habari ya mujini.

Njooni mpinge na hii kama mlivyopinga ile nyingine ya shule kupewa laki mbili.

Najua na hii mtaipinga tu ila muda ndio utakaowaumbua.
 
Inauma sana Mkuu unapoambiwa kuwa endesha shule kwa Mia hamsini elfu tu. Halafu mnawataka wazazi wakae pembeni. Jaman michango haikwepeki na bure amekufa tushazika. Ni hivi hata young couple haiwezi tumia gharama hiyo kwa mwezi. Huu ni michango wa watoto kumi tu wanakuja kuandikishwa. Private hela hii hata uniform ya mwanao yaweza pelea. Nadhan wakati umefika tuchangie ili kunusuru hii hali. Jaman hii amount hata ktk baadhi ya harusi huuoni mnusu leo ihutumie watoto mia 4.
Kutoa fedha kwa kuangalia idadi ya wanafunzi tu kama kigezo ina walakini sana maana kuna gharama nyingine za uendeshaji uwe na wanafunzi 800 na mwingine 100 gharama mtatumia sawa tu...

Hayo mafungu ya idadi ya wanafunzi yangezingatia tu kwenye baadhi ya sehemu kama vitabu,mitihani ya ndani ya shule n.k lakini si kwenye utawala,ukarabati n.k
 
Tunakoelea hii sasa ndio itakuwa habari ya mujini.

Njooni mpinge na hii kama mlivyopinga ile nyingine ya shule kupewa laki mbili.

Najua na hii mtaipinga tu ila muda ndio utakaowaumbua.
Wanaopnga sio walimu,shule yangu imepokea laki 3.5,kwa wanafunz 120,Unaniambia shule hapa itaenda kweli?
 
Ninyi ni watu wa kupinga kila kitu tu. Hebu mleta mada tuletee bajeti ya shule yoyote unayoifahamu, ukiainisha kila tumizi halafu nitakupa fact moja kuonesha kwamba elimu bure inawezekana
 
Ninyi ni watu wa kupinga kila kitu tu. Hebu mleta mada tuletee bajeti ya shule yoyote unayoifahamu, ukiainisha kila tumizi halafu nitakupa fact moja kuonesha kwamba elimu bure inawezekana
Hakuna anayesema elimu bure haiwezekani..., ila sio kwa kiasi wanachopeleka per head.., anyway ni rahisi sana unafuta wanafunzi kupeleka ream basi mitihani inaandikwa ubaoni.., chaki zinapoisha basi mwalimu anawasomea badala ya kuandika ubaoni..., madawati yanavunjika basi mnakaa watu nane nane na kwa kubenana..., Elimu ndio watapata, Bure ? (depends what you call Bure), ukizingatia kwa mzazi school fees ni gharama ndogo sana kuliko mahitaji mengine (uniforms, madaftari, vitabu n.k.) In short hii inafanyika kisiasa zaidi na sio kwa ushirikiano na kushauriana na kila mtu kujitolea kwa kuwapa watoto wetu ufunguo wa maisha
 
Inauma sana Mkuu unapoambiwa kuwa endesha shule kwa Mia hamsini elfu tu. Halafu mnawataka wazazi wakae pembeni. Jaman michango haikwepeki na bure amekufa tushazika. Ni hivi hata young couple haiwezi tumia gharama hiyo kwa mwezi. Huu ni michango wa watoto kumi tu wanakuja kuandikishwa. Private hela hii hata uniform ya mwanao yaweza pelea. Nadhan wakati umefika tuchangie ili kunusuru hii hali. Jaman hii amount hata ktk baadhi ya harusi huuoni mnusu leo ihutumie watoto mia 4.
Achana na mambo ya zama za JK ,taja jina la shule na mahali ilipo ifanyiwe kazi co kulalama tuu
 
Hakuna anayesema elimu bure haiwezekani..., ila sio kwa kiasi wanachopeleka per head.., anyway ni rahisi sana unafuta wanafunzi kupeleka ream basi mitihani inaandikwa ubaoni.., chaki zinapoisha basi mwalimu anawasomea badala ya kuandika ubaoni..., madawati yanavunjika basi mnakaa watu nane nane na kwa kubenana..., Elimu ndio watapata, Bure ? (depends what you call Bure), ukizingatia kwa mzazi school fees ni gharama ndogo sana kuliko mahitaji mengine (uniforms, madaftari, vitabu n.k.) In short hii inafanyika kisiasa zaidi na sio kwa ushirikiano na kushauriana na kila mtu kujitolea kwa kuwapa watoto wetu ufunguo wa maisha
ukisema mambo ya ream, chaki, na madawati hizo pesa zilizogawiwa si za matumizi hayo. Unasema per head kama vile pesa hizo ni za kugawia wanafunzi. au mnataka na uniform serikali igalimie?
 
Wewe ulitaka upewe kiasi gani? endapo mlinzi unamlipa elfu 60,maji 25,hebu tupe bajeti yako
 
Hakuna anayesema elimu bure haiwezekani..., ila sio kwa kiasi wanachopeleka per head.., anyway ni rahisi sana unafuta wanafunzi kupeleka ream basi mitihani inaandikwa ubaoni.., chaki zinapoisha basi mwalimu anawasomea badala ya kuandika ubaoni..., madawati yanavunjika basi mnakaa watu nane nane na kwa kubenana..., Elimu ndio watapata, Bure ? (depends what you call Bure), ukizingatia kwa mzazi school fees ni gharama ndogo sana kuliko mahitaji mengine (uniforms, madaftari, vitabu n.k.) In short hii inafanyika kisiasa zaidi na sio kwa ushirikiano na kushauriana na kila mtu kujitolea kwa kuwapa watoto wetu ufunguo wa maisha
hili suala la elimu bure linafanywa kiutani utani bila watu kuzingatia mahitaji halisi ya shule. na bahati mbaya humu kuna watu wapuuzi sana kazi yao kupinga tu.
shule hata kama ina watoto kumi huwezi ukaiendesha kwa sh 1000000 kwa mwaka ni kudanganyana serikali islete utani kwenye hili wanazika watoto wetu baada ya kuwaua awamu ya nne.
 
ukisema mambo ya ream, chaki, na madawati hizo pesa zilizogawiwa si za matumizi hayo. Unasema per head kama vile pesa hizo ni za kugawia wanafunzi. au mnataka na uniform serikali igalimie?
Hivi hadi shule kuanza kuomba wazazi wachangie hii michango on top of ya Ada ya Shule (ambayo Serikali ndio imesema inalipia "Ada ya Shule") unadhani hizo pesa zote zilikuwa ni ulaji au ndio zilikuwa zinasaidia shule iende sawa bila kusua sua.., ? Hivi unadhani chaki zikiisha katikati kabla ya muda (mwalimu ataandika ubaoni au atakuwa anasoma tu ili kubana matumizi) na kama pesa inapelea unadhani mwalimu atatoa mfukoni kununua hizo ream za kuchapia mitihani au ni mwendo tu wa kuandikiwa ubaoni na kupunguza wingi wa maswali ?

Na mwisho wa siku unadhani kama sio mwanao atakayepata shida ni nani ?
 
Edit post yako taja jina la shule na ilipo la sivyo habari yako itakuwa imekaa kama ya uongo.
 
Inauma sana Mkuu unapoambiwa kuwa endesha shule kwa Mia hamsini elfu tu. Halafu mnawataka wazazi wakae pembeni. Jaman michango haikwepeki na bure amekufa tushazika. Ni hivi hata young couple haiwezi tumia gharama hiyo kwa mwezi. Huu ni michango wa watoto kumi tu wanakuja kuandikishwa. Private hela hii hata uniform ya mwanao yaweza pelea. Nadhan wakati umefika tuchangie ili kunusuru hii hali. Jaman hii amount hata ktk baadhi ya harusi huuoni mnusu leo ihutumie watoto mia 4.
Kwani si mlijidai vichwa ngum mkaichagua ccm...sasa mtaisoma namba.
 
Inauma sana Mkuu unapoambiwa kuwa endesha shule kwa Mia hamsini elfu tu. Halafu mnawataka wazazi wakae pembeni. Jaman michango haikwepeki na bure amekufa tushazika. Ni hivi hata young couple haiwezi tumia gharama hiyo kwa mwezi. Huu ni michango wa watoto kumi tu wanakuja kuandikishwa. Private hela hii hata uniform ya mwanao yaweza pelea. Nadhan wakati umefika tuchangie ili kunusuru hii hali. Jaman hii amount hata ktk baadhi ya harusi huuoni mnusu leo ihutumie watoto mia 4.
"elimu bue" ndio nini??
 
Tunakoelea hii sasa ndio itakuwa habari ya mujini.

Njooni mpinge na hii kama mlivyopinga ile nyingine ya shule kupewa laki mbili.

Najua na hii mtaipinga tu ila muda ndio utakaowaumbua.
Uzi uanzishe wewe na ku comment u comment mwenyewe...pimbi kweli wewe
 
Inauma sana Mkuu unapoambiwa kuwa endesha shule kwa Mia hamsini elfu tu. Halafu mnawataka wazazi wakae pembeni. Jaman michango haikwepeki na bure amekufa tushazika. Ni hivi hata young couple haiwezi tumia gharama hiyo kwa mwezi. Huu ni michango wa watoto kumi tu wanakuja kuandikishwa. Private hela hii hata uniform ya mwanao yaweza pelea. Nadhan wakati umefika tuchangie ili kunusuru hii hali. Jaman hii amount hata ktk baadhi ya harusi huuoni mnusu leo ihutumie watoto mia 4.
Mkuu hiyo nu pesa ya kuendesha shule mda gani?? Siku moja au?? Cc FaizaFoxy
 
Hivi hadi shule kuanza kuomba wazazi wachangie hii michango on top of ya Ada ya Shule (ambayo Serikali ndio imesema inalipia "Ada ya Shule") unadhani hizo pesa zote zilikuwa ni ulaji au ndio zilikuwa zinasaidia shule iende sawa bila kusua sua.., ? Hivi unadhani chaki zikiisha katikati kabla ya muda (mwalimu ataandika ubaoni au atakuwa anasoma tu ili kubana matumizi) na kama pesa inapelea unadhani mwalimu atatoa mfukoni kununua hizo ream za kuchapia mitihani au ni mwendo tu wa kuandikiwa ubaoni na kupunguza wingi wa maswali ?

Na mwisho wa siku unadhani kama sio mwanao atakayepata shida ni nani ?
acha kuongelea zilipendwa. hiyo michango ya nini? kama chaki zikiisha kuna wahusika, kwa shule za serikali, maalum kwa usambazaji wa hizi chaki, tena zaidi hata ream, chakula, madawati, n.k kwa kuzingatia sheria za manunuzi ya umma. Wewe unataka shule ipewe hela waende sijui stationary gani wakanunue ream za karatasi? watafungwa wengi
 
Back
Top Bottom