SIMEON KATATANAMA
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 479
- 277
Sifa,Heshma anastahiri Mungu wetu aliyekupa
kazi kupitia JF,cha msingi na muhimu ni kwenda
kumshukuru Mungu kwa mambo makuu aliyokutendea hasa hili la kazi.
""Mungu ni MwemA"
Kila Iitwapo Leo.
Wakuu napenda kuwashukuru sana wana JF kwa msaada wa taarifa za kazi. Nimepata kazi mwezi uliopita kutokana na tangazo lililoletwa humu JF. Naahidi kuichangia JF ili izidi kusonga mbele. Ahsanteni sana.
Amen! And we shall all know and understand that!
Hongera sana mkuu....
Wengine bado tuna hangaika ila kiimani siku ipo kazi itapatikana.
Usisahau ibada.
Nashukuru mkuu kwa ushauri wako.Sifa,Heshma anastahiri Mungu wetu aliyekupa
kazi kupitia JF,cha msingi na muhimu ni kwenda
kumshukuru Mungu kwa mambo makuu aliyokutendea hasa hili la kazi.
""Mungu ni MwemA"
Kila Iitwapo Leo.
hongera mkuu