Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,670
- 22,261
ITV imetembelea Mbagala Rangitatu na kujionea hali ya uchafu ambao umekimbiwa na nzi. Ninatumai habari hii ataiona Mkuu wa Mkoa na kuchukua hatua haraka.
Ninaamini kukisafishwa huenda nzi watarejea na kuwawezesha wafanyabiashara kuuza dawa za kuua nzi, tunaishi kwa kutegemeana.
Ninaamini kukisafishwa huenda nzi watarejea na kuwawezesha wafanyabiashara kuuza dawa za kuua nzi, tunaishi kwa kutegemeana.