johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,600
Hili lilikuwa angalizo muhimu sana lilitolewa na Shujaa Magufuli mara baada ya Devotha Minja kurejeshwa kwenye kinyang'anyiro cha Ubunge Morogoro Mjini
Awali Mgombea wa CCM alifanya figisu za Kimlungula na Devotha Minja jina lake likaondolewa Abood akapitishwa bila kupingwa
Eid al Adh'haa Njema!
Awali Mgombea wa CCM alifanya figisu za Kimlungula na Devotha Minja jina lake likaondolewa Abood akapitishwa bila kupingwa
Eid al Adh'haa Njema!