JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,177
- 7,472
Katika uwanja wa ndege wa Dodoma, Rais Dkt.Mwinyi amepokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule pamoja na Viongozi mbalimbali wa Serikali na Vyombo vya Ulinzi na Usalama wa Mkoa huo.