Shughuli za wachina nchini Tanzania

Shughuli za wachina nchini Tanzania

Shettedenis

Member
Joined
Aug 18, 2013
Posts
49
Reaction score
9
Kumekua na wimbi kubwa la raia wa ki china kufanya shughuli mbalimbali za kiuchumi ndani ya nchi yetu tukufu. Malalamiko mengi yamejitokeza kuhusiana na uhalali wa shughuli za wachina hawa, hasa karakana na viwanda bububu mitaani. Baadhi ya watanzania kutokana na ugumu wa ajira wamekua wakifanya kazi kwa wachina hawa. Ushauri wangu, serikali ifanye zoezi la kurasimisha shughuli zote zinazofanywa na wachina. Urasimishaji uzingatie sheria za nchi.
 
Ushauri wangu, serikali ifanye zoezi la kurasimisha shughuli zote zinazofanywa na wachina. Urasimishaji uzingatie sheria za nchi.


kurasimisha ndio swala la msingi. Kiwango cha mtaji wanaowekeza kiangaliwe pia.
 
Daah, huku kwenye construction ndo usiseme..
 
Nimemuona mchina anatengeneza mafuta yani analala kwenye matofali halafu tunamuita muwekezaji khaaaaaa operation kimbunga imemuacha huyo mchina..
 
Kumekua na wimbi kubwa la raia wa ki china kufanya shughuli mbalimbali za kiuchumi ndani ya nchi yetu tukufu. Malalamiko mengi yamejitokeza kuhusiana na uhalali wa shughuli za wachina hawa, hasa karakana na viwanda bububu mitaani. Baadhi ya watanzania kutokana na ugumu wa ajira wamekua wakifanya kazi kwa wachina hawa. Ushauri wangu, serikali ifanye zoezi la kurasimisha shughuli zote zinazofanywa na wachina. Urasimishaji uzingatie sheria za nchi.

Hivi mbona naona wachina ndio wanalaumiwa sana?
Kuna wamalawi, wacongo, watusi, wasomali, wakenya, waarabu, wahindi, wapakistani wengi tu wanazugazuga tu, lakini hamna anayewalalamikia. Tusi-target watu wa taifa fulani tu. Wote wanaokuja kimagumashi washughulikiwe bila ubaguzi.
 
Nimemuona mchina anatengeneza mafuta yani analala kwenye matofali halafu tunamuita muwekezaji khaaaaaa operation kimbunga imemuacha huyo mchina..
Hii nayo ni balaa, invester analala kwenye tofari hatari sana.
 
hata kwenye chama chetu wapo. huenda wakagombea nafasi kwenye uchaguzi ujao.
 
Ana lengo la kukusanya tu hataki kutumia ni janga kiuchumi huyo mchina.
 
Ukikuta wamelala chukua uondoke..sio wizi bali kupokezana ujirani kijiji
^^
 
baadhi ya mawaziri wetu wanaamini kabisa hao ndio wenye uwezo wa kuwekeza kwenye mafuta na gesi. sie wabongo tuna vijisenti tu. kibaya zaidi waziri huyu ana Phd. na ni prof. ninawacwac ccm inapendekeza mtu wa kupewa ph
d
 
Back
Top Bottom