Katika vipi vinavyoniudhi ni kifanya shughuli za kiserikali siku ya jumapili,watu wanashindwa kuhudhuria ibada wanafuatilia mini kitanili ikulu. Hivi kwanini mikutano kama hii isiitishwe siku za kazi. Tangy asubuhi tumekodoa macho kwenye runinga, NASEMA TABIA HII IKOME, NA CDM TUKICHUKUA NCHI TUACHE UPUUZI, VINGINEVYO NITACHARAZA BAKORA SISTIMU NZIMA