shotlist pspf

shotlist pspf

lady black

Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
10
Reaction score
2
kwa yeyote anayejua kuhusu shotlist ya pspf vip wameshaitwa au na maximum ukifanya enteview unatakiwa usubiri majibu kwa siku ngapi
 
List hii hapa.... Goodluck kwenu
Namshukuru sana Mungu kwa kuwa shortlisted nafasi ya compliance officer,nawaomba wanajf tuzidi kuombeana ili hatimaye wote tuibuke kidedea ktk mapambano haya ya ajira..mwenye taarifa juu ya mchakato mzima unavyoendeshwa atujuze tafadhali..
 
Mode tusaidie simu zetu hazina uwezo wa kufungua hiyo pdf
 
Most of shortlisted ni watu ambao tayari wako makazini,especial finance,operation,Bado urasimu na upendeleo upo
 
Namshukuru sana Mungu kwa kuwa shortlisted nafasi ya compliance officer,nawaomba wanajf tuzidi kuombeana ili hatimaye wote tuibuke kidedea ktk mapambano haya ya ajira..mwenye taarifa juu ya mchakato mzima unavyoendeshwa atujuze tafadhali..

all the best new 'askari' policy &procedure watchman
 
Mimi simjui mtu pspf! Wala sikua na pepa ...sikutoa hata sh.10 alaf nmeitwa!!! Inawezakana bhana tusikate tamaa tujiandae vyema kabla ya interview tusisahau kusali sana
 
Ingia kwenye web yao sasa hivi utakuta walioitwa for oral interview ndugu.
 
Wakuu tusaidiane anaeweza kuanika hayo majina afanye hivyo ili wanaotumia simu waweze kuona kiurahisi
 
Please fanyeni msaada wa hayo majina basi jamani!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Wakuu tusaidiane anaeweza kuanika hayo majina afanye hivyo ili wanaotumia simu waweze kuona kiurahisi

Umegeneralize sana mkuu. Majority tunatumia simu isipokuwa inategemea simu ya aina gani. Ukiwa na Galaxy sII + au simu yeyote yenye android os kila kitu kinawezekana.
 
Umegeneralize sana mkuu. Majority tunatumia simu isipokuwa inategemea simu ya aina gani. Ukiwa na Galaxy sII + au simu yeyote yenye android os kila kitu kinawezekana.

nimekusoma mkuu. Kweli niliwainclude pasipo stahiki.
 
Back
Top Bottom