A amaa New Member Feb 20, 2011 4 0 Aug 20, 2011 #1 hello wanajamii kwa yeyote mwenye update ya ajira ofisi za bunge naomba kufahamishwa je wameshatoa shortlist zao???
hello wanajamii kwa yeyote mwenye update ya ajira ofisi za bunge naomba kufahamishwa je wameshatoa shortlist zao???
mshamu JF-Expert Member Aug 5, 2011 418 133 Aug 22, 2011 #2 vipi unauhakika wa kuitwa au hawakusema kwamba wataatarifu wale tu waliowachagua?
W winifrida Member Aug 9, 2011 5 0 Aug 22, 2011 #3 watatoa ila wanachukua muda mrefu kidogo uwe na subira ndugu
TEMPOLALE JF-Expert Member Aug 18, 2011 302 107 Aug 22, 2011 #4 Watakuwa wanawafanyia induction course walio wajiri, hivi hujui nyie msiokuwa na info vizuri mnakuwa wasindikizaji tuu???
Watakuwa wanawafanyia induction course walio wajiri, hivi hujui nyie msiokuwa na info vizuri mnakuwa wasindikizaji tuu???