Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 8,808
- 8,733
Leta letaaa kama zipoooSEHEMU YA KUMI NA MOJA
ILIPOISHIA SEHEMU YA KUMI......
"Njoo ukae kwa huku uandike niwe nakusomea". Niliinuka na kuhamia upande ambao yupo yeye Careen ambaye nilianza kumsaidia kuandika kazi ile. Badala ya kuwa ananisomea yale maandishi alikuwa akisoma huku ananiangalia usoni mwangu. Nilikuwa nipo naandika kazi bila kuangaza angaza nilipotoa macho yangu kwenye laptop yake na kuangalia chini ilipokuwa karatasi ya yale anayosoma, niliona ile sketi imepanda sana kiasi cha sehemu ya mapaja yake kuonekana hata kufuri lake la ndani nililiona likiwa na rangi ya ya pinki. Sikutaka kuingiwa na tamaa ilibidi nitoe macho yangu na kuyainua kwa juu ili nimtazame yeye ila nilijikuta nikiahindwa kutoa macho yangu mara baada ya kuona chuchu zake zikiwa zimeonekana kwa sehemu kubwa sana mara baada ya kishati alichokuwa amevaa kufungua baadhi ya vifungo....
SONGA NAYO......
Nilibaki nikiwa nimeduwaa mara baada ya kukutana na Chuchu zilizochongoka kiasi kama hazijaguswa. Hata ile kazi niliyokuwa naifanya nilijikuta nikiiahilishia kabisa na kushusha tena macho kwenye mapaja ya Careen ambaye hakuonyesha jambo lolote la kustuka. "Daaah joto la Dar nalo kero kweli hata usiku" Careen aliongea akinitazama usoni mwangu huku na mie nikavunga kama nipo naye pamoja wakati Tayari nimeshika ile laptop yake nikizuia mashine yangu kutokeza kwani tayari ilikuwa imepokea mawasiliano na kuanza kusumbua kwenye suruali. "Yeah ni kweli yaani unaweza ukatamani ubaki hata uchi maana hii hatari sasa". Aliishia kunipiga kwenye bega kwa kauli yangu ya kukaa uchi huku akiongezea tena kifungo kingine kufungua nikibaki kutazama sinema inayoendelea mbele yangu. "Kumuacha ni uzembe tena uliokithiri kabisa " Nilijiwazia huku nikimsogelea karibu zaidi na miili yetu kugusana ila niligusa upaja wake uliokuwa umeachwa wazi.Niliendelea kumwandikia hadi nilipochoka kwani majira yalikuwa yameenda sana tulianza kupiga story huku akiwa vilevile bila hata kujilekebisha.
"Wanaume nyie wapumbafu sana hamjui kupendeka kabisa yaani"
"KKwanini unaongea hivi Careen " Nilimjibu huku akinijibu
"Naweza kukuambia siku nyingine ila nahsi usingizi hatari, naomba nijilaze kwenye mapaja yako kama hutojali"
Kauli ya careen iliniacha mdomo wazi kwani fursa nyingine inajileta yenyewe ndani ya nyumba tukiwa wawili tuu. "Kawanini mama yako alikuambia nijekukulinda leo"
"Mama anakuamini sana kuliko hata mimi" Careen aliongea akiwa kajilaza tayari juu ya mapaja yangu. Mkono wangu uliokosa heshima uonapo maungo ya mwanamke mzuri mbele yangu yaligua juu ya chuchu za careen ambaye alibaki Kuwa kimya akionekana kama kalala. Nilifanya kama bahati mbaya niliingiza mikono yangu ndani ya kishati huku nikiipitisha katikati ya chuchu mchongoma za careen. Nilipoona hakuna anaye nizuia kwa sasa niliminya moja ya chuchu zake huku nikiwa nauoga kiasi. "Mmmmmh" Mguno wa puani alioutoa careen ulinipa ujasiri wa kuendelea na mchezo wangu wa kutomasa chuchu zake kwa mikono yote miwili. Niliutoa mkono mmoja nikaupeleka mpaka yalipo mapana yake na kuanza kuyaminya minya kama nayafinya hivi.
Careen alifumbua macho yake huku akinitazama kwa macho malegevu sana. Alinishika T-shirt yangu na kunivuta karibu na midomo yake na kuanza kubadilishana nae mate muda wote. Nilimuweka juu ya mapaja yangu huku akinifuata kichwa changu kilipo nilikipandisha zaidi kisketi chake huku nikimtazama tena usoni mwake. Nikipokea tena lips zake laini iliyonifanya kuanza kuinyonya. Nilishusha vidole vyangu vya mkono wa kushoto na kuanza kusugua juu ya ikulu yake mpaka alipoanza kuzungusha tena kiuno chake bila kujielewa. Sauti yake ya puani iliniongezea midadi kummalizia kumvua nguo zake na kubakiwa na kufuri lake la pinki. "Nilimuinua juu kidogo huku Nikimalizia kuishusha suruali yake na kumuweka juu ya upaja wangu huku nikipitisha mhogo wangu ndani ya ikulu yake.
Jinsi alivyokuwa anazungusha kiuno akijipimia utamu wake aliishia kunishika tuu mabega mara anikumbatie yaani ilikuwa ni zaidi ya fujo. Ilifika wakati nilimuona akizungusha kiuno kwa kasi kubwa sana huku akianza kunikumbatia Kwa nguvu baada ya muda mfupi alijikuta aking'ata begani huku akimalizia kupiga dafu. "Pole Muddy wangu ni utamu tuu ndio umesababisha" Alikuwa akinipulizia kwa kutumia midomo yake juu ya bega alilong'ata japo hakuniumiza sana. "Usijali" Nilimjibu nikiwa nimelala kwenye kochi huku naye akiwa juu yangu. "Chumba chako kikowapi" Nilimuuliza huku akinisontea moja ya mlango uliokuwa mbele yetu niliinuka na kumbeba hadi ndani ya chumba chake nilimtupia kitandani huku nikimfuata kwa juu kilichofuata ilikuwa ni kuepeana raha mpaka pale kila mmoja wetu alipotosheka na kufikia hatua ya kulala.
Asubuhi na mapema nilistuka nikakutana na sura ya Careen akiwa kalalia mkono wangu huku miguu yake ikiwa juu ya mapaja yangu na mkono wake mmoja akiwa kaupitisha kwenye kifua changu uku akiwa kasinzia. Nilimtazama kwa macho ya matamanio maana Careen alikuwa kajaliwa uzuri ambao nilihisi alikuwa nao mama yake kabla hajazeeka. Nilipotaka kuutoa mguu wake nilikuwa nimechelewa nilishangaa mtu akipanda juu yangu akiwa kaamuka tayali huku akileta lips zake kwangu na kuniomba nimpatie huduma ya Mate. Baada ya dakika chache hakuna aliyekuwa anakumbuka kuwa pamekucha kilichokuwa kinasikika ndani ni sauti tamu ya Careen iliyokuwa inanifanya niongeza kasi ya kupampu mashine yangu. Tulijikuta tumejitupa pembeni wote mara baada ya kifikishana kileleni wote. "Ahsante Muddy" Careen aliongea huku nikimuacha kalala na mie kwenda kuoga kabla sijaondoka kabisa eneo hili.
Ilikuwa kawaida yangu Tangu nimalize mtihani wangu wa kidato cha nne nilikuwa namsaidia mama kumsambazia vitenge vyake kila siku. Nikiwa natoka kusambaza vitenge vyangu maeneo ya Tegeta ambako nilipeleka mzigo kwa Dada mmoja aliyekuwa anachukua vitenge kwa mama simu yangu ilikuwa ikiita nilitazama nikakuta mtu Aliyekuwa anapiga ni Suddy, "oya mwana una zali hatari uko wapi muda huu", nilisikia suddy akitamuka maneno bila breki. "Ndio nafika Moroco natokea Tegeta" "Ukifika Ufundi ushuke uje gheto mara moja sawa mwanangu" Nilimkubalia huku akikata simu yake. Nilipofika Ufundi aikusita kushuka na kuchanja hadi yalipokuwa makazi ya Suddy na kupitiliza hadi mlangoni mwake nikingoja Afungue mlango. Ila kabla sijaingia ndani nilimuona yule dada tena akiwa anatoka bafuni kuoga akiwa anakanga moja tuu, hakuwa mgeni machoni pangu kwani tayari nakumbuka ndio yule tuliyekutana nae kwenye Shughuli hadi nikakimbizwa na bwana yake, Alinipungia mkono huku akiingia ndani kwake na mie nilikuta tayali nimeingia kwa Suddy aliyefungua mlango.
Nikimuona Suddy akitoka nje bila kuniaga ila baada ya dakika moja kupita mlango ukifunguliwa tena huku nikimuona yule dada akiingia ndani bila hata kupiga hodi na mlango akiufunga na kitenge alichokuwa amevaa akakidondosha . Alinifuata hadi kitandani na kunikalia kwa juu akiwa uchi kama alivyozaliwa huku akianza kunitomasa mwili wangu. Hata mie nilimpa ushirikiano mzuri lakini cha ajabu mpaka zinapita kama dakika kumi ukuni wangu hata kusema utikisike kusimama haukuonyesha dalili yeyote. "Mungu wangu nini hii tena" Nilijiuliza huku nikimtoa dada huyu juu ya mapaja yangu akionekana mwenye hamu za kusuguliwa...
ITAENDELEAAA..