Shoga yake Mama...

SEHEMU YA KUMI NA MOJA

ILIPOISHIA SEHEMU YA KUMI......
"Njoo ukae kwa huku uandike niwe nakusomea". Niliinuka na kuhamia upande ambao yupo yeye Careen ambaye nilianza kumsaidia kuandika kazi ile. Badala ya kuwa ananisomea yale maandishi alikuwa akisoma huku ananiangalia usoni mwangu. Nilikuwa nipo naandika kazi bila kuangaza angaza nilipotoa macho yangu kwenye laptop yake na kuangalia chini ilipokuwa karatasi ya yale anayosoma, niliona ile sketi imepanda sana kiasi cha sehemu ya mapaja yake kuonekana hata kufuri lake la ndani nililiona likiwa na rangi ya ya pinki. Sikutaka kuingiwa na tamaa ilibidi nitoe macho yangu na kuyainua kwa juu ili nimtazame yeye ila nilijikuta nikiahindwa kutoa macho yangu mara baada ya kuona chuchu zake zikiwa zimeonekana kwa sehemu kubwa sana mara baada ya kishati alichokuwa amevaa kufungua baadhi ya vifungo....
SONGA NAYO......
Nilibaki nikiwa nimeduwaa mara baada ya kukutana na Chuchu zilizochongoka kiasi kama hazijaguswa. Hata ile kazi niliyokuwa naifanya nilijikuta nikiiahilishia kabisa na kushusha tena macho kwenye mapaja ya Careen ambaye hakuonyesha jambo lolote la kustuka. "Daaah joto la Dar nalo kero kweli hata usiku" Careen aliongea akinitazama usoni mwangu huku na mie nikavunga kama nipo naye pamoja wakati Tayari nimeshika ile laptop yake nikizuia mashine yangu kutokeza kwani tayari ilikuwa imepokea mawasiliano na kuanza kusumbua kwenye suruali. "Yeah ni kweli yaani unaweza ukatamani ubaki hata uchi maana hii hatari sasa". Aliishia kunipiga kwenye bega kwa kauli yangu ya kukaa uchi huku akiongezea tena kifungo kingine kufungua nikibaki kutazama sinema inayoendelea mbele yangu. "Kumuacha ni uzembe tena uliokithiri kabisa " Nilijiwazia huku nikimsogelea karibu zaidi na miili yetu kugusana ila niligusa upaja wake uliokuwa umeachwa wazi.Niliendelea kumwandikia hadi nilipochoka kwani majira yalikuwa yameenda sana tulianza kupiga story huku akiwa vilevile bila hata kujilekebisha.
"Wanaume nyie wapumbafu sana hamjui kupendeka kabisa yaani"
"KKwanini unaongea hivi Careen " Nilimjibu huku akinijibu
"Naweza kukuambia siku nyingine ila nahsi usingizi hatari, naomba nijilaze kwenye mapaja yako kama hutojali"
Kauli ya careen iliniacha mdomo wazi kwani fursa nyingine inajileta yenyewe ndani ya nyumba tukiwa wawili tuu. "Kawanini mama yako alikuambia nijekukulinda leo"
"Mama anakuamini sana kuliko hata mimi" Careen aliongea akiwa kajilaza tayari juu ya mapaja yangu. Mkono wangu uliokosa heshima uonapo maungo ya mwanamke mzuri mbele yangu yaligua juu ya chuchu za careen ambaye alibaki Kuwa kimya akionekana kama kalala. Nilifanya kama bahati mbaya niliingiza mikono yangu ndani ya kishati huku nikiipitisha katikati ya chuchu mchongoma za careen. Nilipoona hakuna anaye nizuia kwa sasa niliminya moja ya chuchu zake huku nikiwa nauoga kiasi. "Mmmmmh" Mguno wa puani alioutoa careen ulinipa ujasiri wa kuendelea na mchezo wangu wa kutomasa chuchu zake kwa mikono yote miwili. Niliutoa mkono mmoja nikaupeleka mpaka yalipo mapana yake na kuanza kuyaminya minya kama nayafinya hivi.
Careen alifumbua macho yake huku akinitazama kwa macho malegevu sana. Alinishika T-shirt yangu na kunivuta karibu na midomo yake na kuanza kubadilishana nae mate muda wote. Nilimuweka juu ya mapaja yangu huku akinifuata kichwa changu kilipo nilikipandisha zaidi kisketi chake huku nikimtazama tena usoni mwake. Nikipokea tena lips zake laini iliyonifanya kuanza kuinyonya. Nilishusha vidole vyangu vya mkono wa kushoto na kuanza kusugua juu ya ikulu yake mpaka alipoanza kuzungusha tena kiuno chake bila kujielewa. Sauti yake ya puani iliniongezea midadi kummalizia kumvua nguo zake na kubakiwa na kufuri lake la pinki. "Nilimuinua juu kidogo huku Nikimalizia kuishusha suruali yake na kumuweka juu ya upaja wangu huku nikipitisha mhogo wangu ndani ya ikulu yake.
Jinsi alivyokuwa anazungusha kiuno akijipimia utamu wake aliishia kunishika tuu mabega mara anikumbatie yaani ilikuwa ni zaidi ya fujo. Ilifika wakati nilimuona akizungusha kiuno kwa kasi kubwa sana huku akianza kunikumbatia Kwa nguvu baada ya muda mfupi alijikuta aking'ata begani huku akimalizia kupiga dafu. "Pole Muddy wangu ni utamu tuu ndio umesababisha" Alikuwa akinipulizia kwa kutumia midomo yake juu ya bega alilong'ata japo hakuniumiza sana. "Usijali" Nilimjibu nikiwa nimelala kwenye kochi huku naye akiwa juu yangu. "Chumba chako kikowapi" Nilimuuliza huku akinisontea moja ya mlango uliokuwa mbele yetu niliinuka na kumbeba hadi ndani ya chumba chake nilimtupia kitandani huku nikimfuata kwa juu kilichofuata ilikuwa ni kuepeana raha mpaka pale kila mmoja wetu alipotosheka na kufikia hatua ya kulala.
Asubuhi na mapema nilistuka nikakutana na sura ya Careen akiwa kalalia mkono wangu huku miguu yake ikiwa juu ya mapaja yangu na mkono wake mmoja akiwa kaupitisha kwenye kifua changu uku akiwa kasinzia. Nilimtazama kwa macho ya matamanio maana Careen alikuwa kajaliwa uzuri ambao nilihisi alikuwa nao mama yake kabla hajazeeka. Nilipotaka kuutoa mguu wake nilikuwa nimechelewa nilishangaa mtu akipanda juu yangu akiwa kaamuka tayali huku akileta lips zake kwangu na kuniomba nimpatie huduma ya Mate. Baada ya dakika chache hakuna aliyekuwa anakumbuka kuwa pamekucha kilichokuwa kinasikika ndani ni sauti tamu ya Careen iliyokuwa inanifanya niongeza kasi ya kupampu mashine yangu. Tulijikuta tumejitupa pembeni wote mara baada ya kifikishana kileleni wote. "Ahsante Muddy" Careen aliongea huku nikimuacha kalala na mie kwenda kuoga kabla sijaondoka kabisa eneo hili.
Ilikuwa kawaida yangu Tangu nimalize mtihani wangu wa kidato cha nne nilikuwa namsaidia mama kumsambazia vitenge vyake kila siku. Nikiwa natoka kusambaza vitenge vyangu maeneo ya Tegeta ambako nilipeleka mzigo kwa Dada mmoja aliyekuwa anachukua vitenge kwa mama simu yangu ilikuwa ikiita nilitazama nikakuta mtu Aliyekuwa anapiga ni Suddy, "oya mwana una zali hatari uko wapi muda huu", nilisikia suddy akitamuka maneno bila breki. "Ndio nafika Moroco natokea Tegeta" "Ukifika Ufundi ushuke uje gheto mara moja sawa mwanangu" Nilimkubalia huku akikata simu yake. Nilipofika Ufundi aikusita kushuka na kuchanja hadi yalipokuwa makazi ya Suddy na kupitiliza hadi mlangoni mwake nikingoja Afungue mlango. Ila kabla sijaingia ndani nilimuona yule dada tena akiwa anatoka bafuni kuoga akiwa anakanga moja tuu, hakuwa mgeni machoni pangu kwani tayari nakumbuka ndio yule tuliyekutana nae kwenye Shughuli hadi nikakimbizwa na bwana yake, Alinipungia mkono huku akiingia ndani kwake na mie nilikuta tayali nimeingia kwa Suddy aliyefungua mlango.
Nikimuona Suddy akitoka nje bila kuniaga ila baada ya dakika moja kupita mlango ukifunguliwa tena huku nikimuona yule dada akiingia ndani bila hata kupiga hodi na mlango akiufunga na kitenge alichokuwa amevaa akakidondosha . Alinifuata hadi kitandani na kunikalia kwa juu akiwa uchi kama alivyozaliwa huku akianza kunitomasa mwili wangu. Hata mie nilimpa ushirikiano mzuri lakini cha ajabu mpaka zinapita kama dakika kumi ukuni wangu hata kusema utikisike kusimama haukuonyesha dalili yeyote. "Mungu wangu nini hii tena" Nilijiuliza huku nikimtoa dada huyu juu ya mapaja yangu akionekana mwenye hamu za kusuguliwa...
ITAENDELEAAA..
Leta letaaa kama zipooo
 
JINA:SHOGA YAKE MAMA 🔞
SEHEMU YA KUMI NA NNE

ILIPOISHIA SEHEMU YA KUMI TATU......
"Kumbe muddy una utani , hii mali haina mtumiaji ndio shida. " Ina maana hujaolewa au maana sikuelewi yaani" "Ninaye ila ndio hivyo kitambi kimemuathiri". Aliongea akija karibu yangu na kunionyesha simu yake alionigeuzia simu ile sikuamini macho Baada kuona video ikinionyesha mimi na Lizzy nesi niliyefanya nae mapenzi jana usiku. " Naomba tuu unionjeshe huu utamu maana naishi na mwanaume kibamia hanitoshelezi hamu yangu kiukweli"
"Hapana siwezi kufanya hivi"
"Kazi ya uyu binti ipo mikononi mwako ukikataa tuu nasambaza kwenye group la wakubwa wa kazi na atafukuzwa mara moja" Aliinuka na kutoa kikoti chake akibakiwa kimini chake akichoanza nacho kukitoa kwa kuanza kufungua zipu iliyokuwa pembeni Mwake......
SONGA NAYO...
"hapana kwa sasa siwezi kufanya sababu bado naumwa nisamehe sana dada yangu fanya uvae nguo zako labda kama siku ingine" Niliongea huku nimekaza sura huku nikimwangalia Dokta huyu wa kike aliyekuwa anataka kushsha sketi yake ila nikamzuia kwani nisipojichnga mwenyewe afya yangu itanipa madhara. "Naomba hata kimoja tuu muddy unaonekana kama hunipendi pamoja na uzuri wangu wote huu" Aliongea akipandisha sketi yake ya kimini na kuvuka mapaja juu kidogo japo alikuwa alikuwa annipa hisia kali sana kuwa ngumu kuzikwepa hisia zake ila nilijitahidi sana kuzishinda. Hisia zake jambo ambalo nilifanikisha kwa asilimia kubwa. "Kwahiyo muddy ndio hutaki kweli" Aliongea kwa upole na mie nikiweka msimamo wangu. "Nikipona unitafute sawa" Aliniangalia kwa macho ya uchu nikayakwepa yasije niingiza kwwnyw ushawishi ambao sikutaka muda huo unikute pale hospitalini. "Ila niahiidi hutoweza vujisha hizo video" Niliongea kwa huku macho yangu nikiwa nimemkazia akimalizia kuvaa lile koti lake jeupe huku akiishia kutikisa tuu kichwa kikibaliana na mimi.
Siku ile ikawa imepita na Asubuhi yake niliruhusiwa kutoka na mwenda nyumbani japo nilikuwa nikimkwepa sana Mama mdogo kuendelea na ule mchezo mchafu kabla hata hatujaahitukiwa. "Mama unaonaje ule mchezo tukaauacha kabisa isije ikawa aibu humu ndani"
"Muddy kwa utamu wako huu hata mtu aniambie anipige risasi siwezi kuuachia unataka nani aufaidi sasa"
"Mama lakini hii ni hatari sana kwetu hukumbuki baba akivyomkali akija kujua atanitoa macho mimi"
"Kwani yeye hajui kuwa kuna hisia hazizuiliki kabisa nafuu hata akijua ntauwa huru kujilia utamu wanu bila hata kuingiliwa kwenye anga zangu tena nakuwa na Uhuru"
"Kwani huna mwanaume wa kukufanyia haya yote mpaka uje uning'ang'anie mie lakini, huoni hii ni dhambi mbele za mungu"
"Siku unakuja mbele yangu hukutambua kuwa ni dhambi asa mie nishaonja utamu nimenogewa staki hata kusikia harufu ya neno kukuacha". Nilijikuta nikishindwa hata kula hata ugali uliokuwa mezani kwani mama mdogo kachizika kabisa mbele yangu hataki hata kuaisikia sauti ya mimi na yeye kuachana. Nilimuangalia akiendelea kula ugali aliopika yeye mwenyewe ili niendelee kula chakula chake niliinuka nikiwa nimechoka kimawazo haswa kwani tayari nimeingia katika majaribu makubwa kwa sababu ya tamaa zangu za kufanya ngono. Simu yangu ilianza kuita nikaipokea na kukutana na sauti ya Dokta ambaye nimetoka kuachana naye jana usiku. "Kesho tukutane Mbagala rangi tatu ndio kuna uhuru mkubwa kwangu mimi kufanya kila kitu na wwe na usipofanya hivyo kesho lazima nipeleke hii video kwa mwajiri wake Lizzy ili afukuzwe kazi" "Usijali kesho tutafanya mwenyewe utafurahi" Nilimjibu kwa sauti ya upole kwani sina ujanja zaidi ya mimi kukubali ili kuokoa kazi ya Lizzy ambaye alijitoa kunipa utamu usiku ule.
Sikutaka tena kuonana na mama mdogo mpaka ilipotimu usiku na mie nikaenda zangu kulala huku nikijatahidi kuyapunguza mazoea na mama mdogo ili mama asije kushtukia mchezo uliopo.
Asubuhu iliyofuata mama alikuja kuniamusha huku akinijulia hali, nilimjibu nipo sawa kwani nilikuwa naweza hadi kwenda kusambaza mzigo wake mwingine tena. "Itabidi ukitoka Kariakoo uende kwa Mama said ukachukue zile pesa maana aliniambia baada ya siku tatu nifuate na leo hii ya nne" Nilimkubalia mama kwa kutikisa kichwa kukubaliana naye. Alipondoka tu nilivuta shuka langu na kulala mawazo yakiwa yamejaa kwani najikuta nakuwa mtumwa wa hisia za wanawake kibao tokana na tamaa zangu.
"Muddy hata kunikumbuka tuu hakuna jamani nimekumiss dia" Sms ya mdogo wake said Rahma iliingia na kunifanya nicheke kidogo na kumjibu nakuja leo nyumbani kwao. Alijibu sms iliyoonekana kumfanya afurahi kidogo. Kwa maelezo ya mama nilifanya alivyoniambia Kariakoo na kuchukua magari yaliyonifanya nipitilize hadi tandika alipokuwa mama said. Nilifika na kumkuta mama said siku hiyo alikiwapo huku akinipa ile pesa ambayo ni ya vitenge. "Rahma msindikize mgeni hata mpaka kule kituoni" Nikimuona Rahma akiinuka haraka maana kama alikuwa anasubiri tuu aambiwe hicho kitu. Baada ya hatua chache Rahma alianza kudokeza. "Muddy hunipendi hata salamu hakuna" "Hapana nilikuwa naumwa huoni hii sindano ya drip" Nilimuonyesha eneo nilipokuwa nimechomwa sindano. Aliushika mkono wangu na kuanza kuuangalia nilishangaa nikipigwa kikumbo cha nguvu na mikono yetu ikitawanywa na mtu aliyeingia kati yetu.
"Hivi Muddy umempa nini dada yangu, na wewe rudi nyumbani haraka"
"Jamani nilikuwa namwangalia tuu mkono wake alikuwa anaumwa"
"Kwani wewe ndio dokta mpka ,na wew nakupa onyo la mwisho nikija kukuta tena na dada yangu ntakufanya kitu kibaya. Said alikuwa kafula kwa hasira sikutaka kuvishana nae kabisa naniliamua kuondoka tusije jaza watu.
Nilifika na kupanda gari za kuelekea mbagala ambako yule dokta aliniambia nikakutane naye nilifika muda muafaka kwani alipokuwa anashuka na mie nilikuwa nashuka kwenye daladala nilikutanisha macho yangu na yake huku akiachia tabasamu panasha lililoonyesba zuri wake. Tulikutana huku yeye akiwa mwenyeji wangu tulifika eneo kulikuwa na nyumba lakini hapakuwa na wakaaaji ndani yake alitoa funguo kwenye begi lake na kufungua. "Usihofu hii ni nyumba yangu japo mme wangu hafahamu" Kitendo cha kuingia tuu ndani hakuna aliywsubir mwamuzi aje kupiga filimbi nilimdaka kwa nguvu zote na kuanza kumnyonya lips zake kwa fujo huku nikipitisha mkono wangu kwenye matiti yake makubwa kiasi huku nikiyaminya minya kwa nguvu hadi kumfanya aanze kutoa ukelle wa haja mle ndani. Nilikishika kinguo alichovaa na kukipandisha juu na kukutana na kufuri ambalo tayari limeshaanza kuloa ndani kwa ndani. Sauti ya mlango kuvunjwa ilitusitua wote tukiwa tumekumbatiana macho yangu yakikutana na mabunsa wawili walioingia ndani na mtu kibonge kidogo akiingia ndani nilioomtazama dokta niliyeingia naye akishika mdomo wake kuonyesha yule ni mumewe....
.ITAENDELEA.......
 
JINA:SHOGA YAKE MAMA🔞
SEHEMU YA KUMI NA TANO
ILIPOISHIA SEHEMU YA KUMI NNE.....
Kitendo cha kuingia tuu ndani hakuna aliywsubir mwamuzi aje kupiga filimbi nilimdaka kwa nguvu zote na kuanza kumnyonya lips zake kwa fujo huku nikipitisha mkono wangu kwenye matiti yake makubwa kiasi huku nikiyaminya minya kwa nguvu hadi kumfanya aanze kutoa ukelle wa haja mle ndani. Nilikishika kinguo alichovaa na kukipandisha juu na kukutana na kufuri ambalo tayari limeshaanza kuloa ndani kwa ndani. Sauti ya mlango kuvunjwa ilitusitua wote tukiwa tumekumbatiana macho yangu yakikutana na mabunsa wawili walioingia ndani na mtu kibonge kidogo akiingia ndani nilioomtazama dokta niliyeingia naye akishika mdomo wake kuonyesha yule ni mumewe....
SONGA NAYOOO...
Mwili wote ulikuwa ukitetemeka kufuatia ujio wa watu watatu ndani kwa macho makali aliyokuwa ananiangalia Mzee huyu ambaye ni mumewe wa dokta. Niliinuka huku nikijikaza kuanza kuvaa nguo zangu ambazo nilikuwa nimeanza kuzipunguza mwilini kwa ajili ya mchezo uanze kati yetu. "Fanyeni mnavyotaka" Mzee huyu alitamka na kumshika mkono mkewe na kutoka naye nje nikibaki mimi ndani na wale jamaa wawili waliokuwa wamejaa kweli miili yao. Jamaa mmoja alikuja na kunishika shingo yangu na kunipandisha juu ya ukuta huku akinipiga ngumi usawa wa tumbo na kuniachia nikaanguka chini. Maumivu ya tumbo yalinifanya nijiinamie chini huku jamaa hawa wakinizuia kutoa ukelele wote. Nilijitahidi kuinuka nilipokuwa nimelala tokana na maumivu ila nilishtuka nikipigwa mtama ulioniudisha chini na kuanguka kiubavuubavu na kupelekea maumivu makali usawa wa mbavu zangu.
Hakika ilikuwa ni siku mbaya sana kwangu nilipigwa vya kutosha bila huruma wala watu walifanya walichoagizwa. Sikuwa Muddy yule bali mwili mzima ulijaa alama na makovu kovu ya kupigwa mwili mzima. Nilijitahidi kutoka nje ya nyumba ile mara baada ya wale jamaa kutoka na kuniacha nikita siwezi hata kutembea. Badae mama mmoja alikuja kunibeba na kunichukulia Bajaji iliyonipeleka mpaka Hospitalini maeneo ya Mbagala Rangi 3. Nilikuwa nimechakazwa haswa kila kiungo kilihitaji kutibiwa kwa wakati huo. "Siwezi kurudia tena huu upuuzi" Niliongea nikijigeuza upande mwingine kwani nilihisi kulalia sehemu ambayo palikuwa na mbavu inayouma. "Unakaa wapi wewe kijana" Mama huyu aliniuliza akitaka kujua wapi nnapokaa ili awasiliane na mama yangu aje kunichukua. Nilimkabidhi simu yangu baada ya kufungua ile simu na kumuwekea sehemu ya majina. "Mama" Nilitamka hivyo kwa shida nilijua nini namaanisha alinikabizisha simu yangu mara baada ya kuchukua namba ile kwenye simu yake. "Nipo hospitalini hapa Mbagala rangi tatu nimemkuta akijivuluta huko mtaani na damu zimetapakaa mwilini mwake ikabidi nimkimbize huku haraka....ila kwa sasa kazinduka mwanzo alikuwa kazimia mara baada ya kumfikisha hapa hospitalini" Mama huyu alikata simu na kuniambia mama yangu anakuja. Nilikuwa mpole kabisa nikimshukuru mungu kwa kuniponya kwenye huu msala ambao sikutegemea kukumbana nao.
Baada ya saa zima kupita nilimuona mama akija akiwa anakimbia kwa kasi kubwa kuja kwangu huku akifika na kunishika mikono yangu "mwanangu shida ni nini mpaka upo hivi" Mama aliongea huku machozi yakimtoka alinitazama kwa muda mrefu sana huku akiniangalia sehemu ya majeraha yangu ambayo nimeumia. "Pole sana Muddy" Nilitikisa kichwa tuu kuonyesha nimepokea pole yake. "Ungejua chanzo cha mimi kuwa hapa usingethubutu hata kuja kuniona. Baadaya nusu saa na Mama mdogo alikuja akiwa na chupa ya chai alifika na kuchufungua mfuniko wa ule mfuniko wa chupa ya chai na kuanza kuninywesha uji aliokuja nao toka nyumbani. Nilikuwa nimejilaza juu ya mapaja yake wakati niliokuwa ninakunywa uji huo nikimuona mama mdogo kutokuwa na furaha kabisa nilijua kwanini maana hapendi niwe katika hali Kama hii hata sikumoja.
Zilipita siku takribani ya nne kabla sijaruhusiwa kurudi nyumbani nilijitahidi kufuata maelezo ya dokta ili kurudisha mwili wangu uwe sawa muda wote. Nilikuwa najilaumu sana kwa mambo nioiyoyaenedekeza ambayo yananifanya niwe mtumwa nilihisi kuwanimelogwa au nimetupiwa jini mahaba. Dokta aliyekuwa ananiuguza alikuja na kuniambia kwamba kesho yake ntaruhusiwa kuondoka nyumbani kwetu mwani mwili ushaanza kukaa sawa. "Kwa hiyo dokta kesho ndio tutaondoka na mtu wetu" Mama aliuliza akiwa wamesimama pembeni yangu mara baada ya dokta kutoka kunichoma sindano. "Ndio kesho inatakiwa kuruhusiwa japo matibabu mengine yatamfuata akiwa nyumbani maana maumivu kwa ndani hayajampata" Majira ya jioni mama aliondoka zake majira hayo hayakuruhusiwa mtu tofauti na Mgonjwa kuwa Wodini. Nilibaki pekee yangu nikiwasiliana na marafiki zangu kwa njia ya simu huku nikiwapa taarifa ya kuumia kwangu. Nesi mmoja alipita karibu yangu kwa bahati mbaya alijikwaa na kuangusha dawa alizokuwa nazo mkononi wakati akiinama macho yangu yaligota hadi usawa wa mapaja yake ambayo yalionekana tokana na nguo yake ya kazi kuwa fupi kiasi. "Mmmmmmh" Niliguna mara baada ya kuona jogoo wangu aking'atuka ghafla na kufula kwa hasira akitaka huduma muda huo. "Hii sasa hatari" Niliongea huku nikipitisha mkono wangu hadi ndani ya boksa na kugusa mashine iliyokuwa imesimama dede muda wote. Wakati nikimuona nesi akikatisha na kwenda kwa mgonjwa mwingine niliinua shingo na kumtazama Nesi alipokuwa anamtibu mgonjwa huyu hamu ya kufanya ngono iliendelea kuishinda nafsi yangu nikijishauli mara kadhaa nifanye nini kupunguza haya mateso. "Liwalo na Liwe" Niliongea nikimtazama nesi huyu aliyekuwa anamalizia kutoa huduma kwa wengine. Nilipomuona anakuja nilifanya kama naumwa tumbo limenikaba alikuja nilipokuwa nikilalamika maumivu ya tumbo na ndio lilikuwa lengo langu alikuja na kuinama karibu yangu huku akiniuliza Tatizo nini. Nilimnyoshea tuu kwa kidole kwenye usawa wa tumbo.
Sikujua kama ni shetani au ni jini la aina gani linanisumbua wakati huo kwani nilijikuta nikipeleka mkono wangu hadi usawa wa mapaja ya nesi huyu huku nikiwa kama nalalamika maumivu hakuonesha hali ya kushtuka niliongeza kwa kuyashika kabisa nikiwa naonekana kama tumbo limenizidia huku naye nesi akihisi ni hali ya kawaida. Sikusita kuyapapasa mapaja yake huku nikijisahau yakuwa mashine yangu kule imeshika mtandao niliona macho yake yakiwa yameganda usawa wa mashine yangu na mikono yake ikisimama kushika shika tumbo langu......
ITAENDELEAAAAAAA BY
USISAHAU KULIKE
 
JINA:SHOGA YAKE MAMA 🔞
SEHEMU YA KUMI NA SITA
ILIPOISHIA SEHEMU YA KUMI NA TANO......
Sikujua kama ni shetani au ni jini la aina gani linanisumbua wakati huo kwani nilijikuta nikipeleka mkono wangu hadi usawnakip mapaja ya nesi huyu huku nikiwa kama nalalamika maumivu hakuonesha hali ya kushtuka niliongeza kwa kuyashika kabisa nikiwa naonekana kama tumbo limenizidia huku naye nesi akihisi ni hali ya kawaida. Sikusita kuyapapasa mapaja yake huku nikijisahau yakuwa mashine yangu kule imeshika mtandao niliona macho yake yakiwa yameganda usawa wa mashine yangu na mikono yake ikisimama kushika shika tumbo langu......
SONGA NAYOO....
Aliniangalia kwa muda sana huku nikianza kutoa mkono wangu sehemu nilipouweka nikijua hapa ninapoelekea ni kuzalilishwa hospitalini mbele za wagonjwa usiku huu. Cha ajabu kabla ya kusema mkono ule utoke nilishangaa ukizuiliwa usawa wa magoti yake. "Utaweza au ndio unataka uniachie tuu nyeg* hapa!?" Nesi aliongea kwa sauti ya chini sana kiasi kwamba mtu aliyekaribu hata kwaumbali wa hatua moja hawez kusikia. Nilimuangalia nikaishia kutikisa kichwa kuonyesha nimekubaliana na kile anachokisema. Aliniinua akionekana kama amebeba mgonjwa aliyezidiwa. Alinishika usawa wa kiuno changu na mie nikipitisha mkono juu ya bega lake nikionekana kama nasunta fulani hivi mguu mmoja. Kwa uchokozi wangu niliokuwa nao nilipeleleka mkono wangu nilioupitisha kwenye titi la nesi huyu ambaye aliniangalia kwa macho ya huba ukichangia rasta alizokuwa amesuka alionekana uzuri wake wote. "Mimi ndio Muddy bwana sishindwi kitu na nyota yangu inanibeba" Niliongea kimoyo moyo nikiingia naye chumba cha sindano na kufunga mlango kwa funguo kabisaa. "Unataka kweli, ila mbona kama bado mdogo sana kwangu etii" Nesi huyu aliongea akiwa kasimama kwenye meza iliyokuwa inatumika mle ndani, sikutaka kumpa fursa ya kuendelea kunidhalau nilimvuta karibu yangu na kuzinasa lips zake na kuanza kuzinyonya kwa fujo, sikutaka kulemba katika mchezo huu kwani alikuwa analet dhalau japo mhogo wa jang'ombe anautaka. Nilimshika kisawa sawa nywele zake na kuendelea kunyonya lips zake huku nikishuka usawa wa shingo yake na kuendelea kufanya yangu nilimuoma jinsi anavyolegea mara baada ya kupandisha kigauni chake cha kijani mpauko na kupitisha vidole vyangu juu ya kitumbua chake huku nikivizamisha kwa kuunganisha na ch*p* yake iliyoingia kidogo sikutaka kulemba nilikuwa nachezesha vidole ndani kwa ndani mpaka nikimuona akizing'ata lips zake bila ya kujizuia kwani alikuwa anapata utamu anaoutaka muda wote. Mpaka nakuja kutoa vidole vyangu ndani na ile ch*p* yake ilikuwa imelowa chapa chapa kwa mabao kadhaa aliyopiga hewani ndani kwa ndani huku nikimbinua na kuniachia kishundu chake nyuma iliyoonyesha kitumbua chake vizuri ili kitumike. Nilishusha suruali na boksa yangu huku nikipitisha mkoma wangu ndani kwa ndani nilimuona akikunja sura huku akinigeukia nilipokuwa nyuma yake "mmmmmh...ku.mbe..u...naaaa....na.niiii kub...." Hakumalizia kauli yake mara baada ya kupeleka nje ndani mara moja huku nikumona akifumba macho ka kichwa akikilaza juu ya meza. Hakunijua kwamba mie ndie Muddy niliekubuhu kwenye hii tasinia ya mapenzi kwani sitegemei kitAndani tuu ili mchezo niumalize.
"Unaitwa nani jina lako" Aliniuliza wakati akichukua kigauni chake na kukivaa na akijiweka sawa rasta zake kwani nilizisasambua kwa mikono yangu. "Naitwa Muddy vip unaitwa nani vile"
"Naitwa Halma, nipe namba yako maana sio kwa utamu huo ulionipa natamani hata nikutafune kama chakula maana sio kwa utamu huo wew mtoto" Aliongea akinipa simu yake na kumuandikia namba yangu ya simu sikujua hata ameiandika jina gani. Tulitoka kama tulivyoingia huku awamu hii nikikishika kiuno huku nakiiwa nakibinya binya mara kadhaa huku akitabasamu. "Nesi katibiwa namgonjwa wake" Niliongea kiutani akibaki kucheka tuu akiniangalia kwa macho yake makubwa na meupe. Alifika na kuniweka kwanye kitanda huku akiondoka ila alitaka kunipiga busu nikamzuia isije kuwa matatizo mengine kama niliyomuachia Lizzy na yamepelekea kuchezea kichapo cha haja toka kwa wa yule dokta wa kike.
Asubuhi na mapema mama alikuja na Mama mdogo kunichukua kwa ajili ya kwenda ntumbani. Tulitoka na kwenda hadi nyumbani kwetu nikiwa muda wote namdekea mama mdogo kwani nilikuwa nimemiss mambo yake ya chumbani kwani alijua kunifikisha pale napopatakaga hata mie kama kwake yeye alivyo. "Muddy nimekumiss hatari yaan hapa panawasha kila sehemu hakuna mkunaji tuu". " Mimi hapa nimerudi leo utaomba msada wa majirani maana sio kwa ny*g* hizi nilizonazo" Alinishika kichwani na kunishika kidevu tena. "Unashika nini hapo wakati hakuna ndevu" Aliishia kucheka tuu mpaka tunafika nyumbani majira ya saa tatu. Mama alipitiliza mpaka ndani na kubadili nguo na kutuacha tukiwa sebuleni na Mama mdogo alituaga na kuondoka. Kitendo cha mlango kufungwa mama mdogo alinirukia na kunikalia kwenye mapaja yangu na kuanza kunitomasa mwilini mwangu. Binafsi nilikuwa nimelimiss penzi la mama mdogo aliyekuwa mbele yangu akijipimia utamu. "Mlango ule hujafungwa lakini" Nilimkumbusha Mama mdogo lakini kama hakunisikia alianza kuendelea na mchezo wake alionifanya nimdaake na kumtoa kinguo alichokuwa kavaa na kuonyesha chuchu zake zikiwa zimenianagalia mbele yangu. Nilizifakamia kwa midomo yangu huku mikono yangu ikizunguka nyuma ya mgongo wake hakuna aliyejali kuwa hapo ni sehemu ambayo ni ya wazi tuliendelea kupeana raha.
"Hapo ni mama mdogo na mwanae" Sauti iliyosikika sote tukiiskia hatukujua kaingia saa ngapi alikuwa ni Careen akiwa anaangalia mchezo mzima. Alitoka mbio ndani nikiwa nimezuba nisijue nini cha kuongea kabisaa mbele yake. Kasi aliyotoka nayo nilisikia tuu geti likipigizwa kwa sauti ya nguvu. Tulibaki tukiwa tumeduwaa nilimuangalia mama mdogo aliyebaki na bumbu wazi asijue aipeleke wapi ile aibu. "Umeona sasa kilichotokea" Niliinuka na kwenda ndani kabisa kilipo chumba changu. Nikiwa na mawazo kwani nilijikuta katika mabinti niliyokuwa nimetembea nao mtu niliyekuwa nimeanza kumpenda alikuwa ni Careen. "Haina haja ya kubaki hapa duniani kwa kile nilichokishuhudia kwa mtu niliyeanza kumpenda japo hakuwa anajua hilo, Muddy mie sioni haja ya mie kuwa hapa maana sizani kama ntayavumilia haya maaumivu na Jambo la mama na wewe nilikuwa nalihisi tuu huenda kuna ukweli ndani yake" Ilikuwa sms ya utata toka kwa Careen sikutaka kubaki ndani niliinuka kwa kasi kutoka nje kwani nilijua atakuwa kachukua uamuzi wa kujiua kabisa. "Hapana" Nilikimbia huku nikikuta geti la kwao likiwa limefungwa kaa nje. Niliamua kurukaUkuta wao na kuingia ndani nikipitiliza hadi kilipochumba cha Careen lakini niliishia mlangoni mara baada kukuta mlango umefungwa kwa ndani nilijutahidi kuchungulia kwa kupitia tundu la funguo ila niliona Sturi tuu ikiwaimedondoka chini...
ITAENDELEAAAA.....
 
Back
Top Bottom