Shoga haliwezi kubadilikaa kamwe

Shoga haliwezi kubadilikaa kamwe

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
1,413
Reaction score
5,150
Kuna taarifa ya kijana mmoja shoga mzoefu anaitwa Agrey ilisema ameokoka na kuacha ushoga ..Huku yeye mwenyewe akijinadi mnoo kwenye mitandao mbalimbali kwamba ameokoka na anatarajia kufunga ndoa .Chichimani alienda mbali na kuamua kuwa mwanaharakati wa kupinga mambo ya ushoga na uelimishaji rika huku akisifiwa na waTanzania wengi hasa mara baada ya kumtambulisha mke wake hadharani.

Lakini kwa mshtuko Leo nimekutana na taarifa kwamba jamaa anapigwa miti upyaa, na hata alipokua anahojiwa ongea yake ni kama mtu anajibana asiachie kimba ghafla..Yaan kwa kuliangalia tu unajua hili li maamuma tayari mfumo umedukuliwa upyaa , no network at all..
Pole sana kwa wote mliojaribu kulisaidia lichichimani , ila mkae mkijua ni ngumu sana kuwabidilisha Hawa wanausalama ambao mifumo Yao ya kinyesi imeshadukuliwa..!!
 

Attachments

  • GpCKuboXUAAs7Wt.jpg
    GpCKuboXUAAs7Wt.jpg
    82.8 KB · Views: 5
  • images (4).jpeg
    images (4).jpeg
    29.1 KB · Views: 6
  • images (3).jpeg
    images (3).jpeg
    26.3 KB · Views: 9
mkuu ubongo umeazima.??.hoja nikwamba hawawezi acha ushoga..mfumo wa kinyesi ukishadukiliwaa Haina come back...watu waache kupoteza muda kufikiri watawarudisha wasenge katika urijali wao
Huna akili nyie ndio mnao furahia anguko la mtu mwingine kitendo cha yeye kuchukua hatua ya kuacha ushoga ni hatua kubwa no matter how many times atarudia we need to encourage him , wangapi wameshidwa hata kujaribu kuacha?
 
Huna akili nyie ndio mnao furahia anguko la mtu mwingine kitendo cha yeye kuchukua hatua ya kuacha ushoga ni hatua kubwa no matter how many times atarudia we need to encourage him , wangapi wameshidwa hata kujaribu kuacha?
Au nawew umedukuliwa mfumo??, yaan ufumuliwe marinda kwa kupenda kwako af cc tuku encourage?..mashoga uwa amuwezi kabisa kujificha
 
Back
Top Bottom