nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,349
- 3,904
Mwanzoni sikujua kama huyu jamaa anatabia ya ushoga nilipojaribu kumchunguza vizuri nikagundua jamaa si riziki.
Alianza kunitumia sms za mapenzi huku akinitakia magudinight kila siku
Nimejaribu kumkanya ila naona hasikii hadi wife ameshtukia nakuanza kugomba.
Ameniambia hata nifanye nini lazima nimlale mimi huo mchezo si uwezi kabisa
Msaada please nimuepuke huyu jamaa
UPDATES:
1.Nimemueleza wife tayari ingawa ilikuwa ngumu kunielewa
2. Nimewachukuwa washikaji zangu tukamtimbia tukamuweka kati nakumpa makaripio ya kufa mtu na askari pembeni wale watesaji kama mnawajua
3. Kaomba msamaha hatarudia tena
Thanks kwa ushauri wenu
Alianza kunitumia sms za mapenzi huku akinitakia magudinight kila siku
Nimejaribu kumkanya ila naona hasikii hadi wife ameshtukia nakuanza kugomba.
Ameniambia hata nifanye nini lazima nimlale mimi huo mchezo si uwezi kabisa
Msaada please nimuepuke huyu jamaa
UPDATES:
1.Nimemueleza wife tayari ingawa ilikuwa ngumu kunielewa
2. Nimewachukuwa washikaji zangu tukamtimbia tukamuweka kati nakumpa makaripio ya kufa mtu na askari pembeni wale watesaji kama mnawajua
3. Kaomba msamaha hatarudia tena
Thanks kwa ushauri wenu