sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,434
- 5,095
Nimefika kwenye kimgahawa kimoja, nikaenda kwenye matunda nikakuta mdada ameshika sahani ya chakula.
Chakula kilikua kiugali kidogo kama vitonge vitatu, na vinyama huku akisusubiri matunda.
Kwa shobo zangu nikamwambia “ugali huo utashiba?” Nikamuuliza kama mara tatu lakini akafanya kama hasikii
Mara ya nne ni kama nikamgusa kidgo mana nikahisi labda ni kiziwi, lakini hakutaka hata kushtuka.
Ilionesha clearly kua ameamua kunilia buyu, kisha akaondoka zake, nimefandhaika na kujiona mjinga sana.
Muuza matunda kwakua ananiheshimu, kafanya kama hajaona kilichotokea.
Anyway leo nimejofunza ku balance shobo hasa kwa watu nisiowajua.
Pengine alidhani namtaka kimapenzi au natafuta ukaribu nimtongoze, kumbe sina hata nia hiyo🙌🙌
Chakula kilikua kiugali kidogo kama vitonge vitatu, na vinyama huku akisusubiri matunda.
Kwa shobo zangu nikamwambia “ugali huo utashiba?” Nikamuuliza kama mara tatu lakini akafanya kama hasikii
Mara ya nne ni kama nikamgusa kidgo mana nikahisi labda ni kiziwi, lakini hakutaka hata kushtuka.
Ilionesha clearly kua ameamua kunilia buyu, kisha akaondoka zake, nimefandhaika na kujiona mjinga sana.
Muuza matunda kwakua ananiheshimu, kafanya kama hajaona kilichotokea.
Anyway leo nimejofunza ku balance shobo hasa kwa watu nisiowajua.
Pengine alidhani namtaka kimapenzi au natafuta ukaribu nimtongoze, kumbe sina hata nia hiyo🙌🙌