shirika la Umeme Tanzania (TANESCO)

shirika la Umeme Tanzania (TANESCO)

mshamba flani

Member
Joined
Mar 9, 2016
Posts
14
Reaction score
11
Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) linaomba radhi kwa wateja wake wote wa mkoa wa Temeke kwa kukosa umeme hii inatokana Kutokea kwa hitilafu Kwenye kituo cha kupoozea umeme cha kurasini na mbagala, Mafundi wanaendelea na matengenezo.Maeneo yanayoathirika ni Kurasini yote,Mbagala yote,Mtoni kijichi,Mbagala kuu,Mgeni nani na maeneo ya jirani. Shirika linaomba radhi kwa usumbufu wote uliojitokeza. Imetolewa na Ofisi ya Uhusiano Makao Makuu
 
Tanesco nyie hamna maana leo siku ya tatu mzambarauni (gongo la mboto)hatuna umeme tumeshawapigia simu saana mnaahidi kuja hamji mpaka leo siku ya 3hakuna umeme wala hakuna taarifa yoyote iliyo tolewa mpaka sasa
 
Mbona ata huku Ukonga ulikatika tangu saa 6 ukarudi saa 10????
 
Back
Top Bottom