dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
TANZIA: MEYA WA MANISPAA YA SHINYANGA AFARIKI DUNIA.
Mstahiki Meya wa Manispaa 1ya Shinyanga David Mathew Nkulila ambaye ni Diwani kata ya Ndembezi David Nkulila(CCM), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumatatu Agosti 23,2021 saa 11 alfajiri wakati akiendelea kupatiwa matibabu kutokana na kuugua kwa muda mrefu.
Msiba upo nyumbani kwake mtaa wa Mabambasi kata ya Ndembezi jirani na Kanisa la Moravian
R.I.P Nkulila
Chanzo cha habari ni Kahama FM
Mstahiki Meya wa Manispaa 1ya Shinyanga David Mathew Nkulila ambaye ni Diwani kata ya Ndembezi David Nkulila(CCM), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumatatu Agosti 23,2021 saa 11 alfajiri wakati akiendelea kupatiwa matibabu kutokana na kuugua kwa muda mrefu.
Msiba upo nyumbani kwake mtaa wa Mabambasi kata ya Ndembezi jirani na Kanisa la Moravian
R.I.P Nkulila
Chanzo cha habari ni Kahama FM