Kurzweil JF-Expert Member May 25, 2011 6,622 8,397 Jan 6, 2017 #1 Mtu mmoja anazuiliwa katika kituo cha polisi cha Shinyalu, kaunti ya Kakamega. Raphael Amboso mwenye umri wa miaka arobaini aliivamia familia yake kwa upanga jana jioni na kumuua babake kabla ya kujeruhi watu wengine sita.
Mtu mmoja anazuiliwa katika kituo cha polisi cha Shinyalu, kaunti ya Kakamega. Raphael Amboso mwenye umri wa miaka arobaini aliivamia familia yake kwa upanga jana jioni na kumuua babake kabla ya kujeruhi watu wengine sita.
Naisujaki Lekangai JF-Expert Member Aug 19, 2012 1,340 1,377 Jan 8, 2017 #3 Bangi hizo! Poleni sana wanafamilia na majirani wa marehemu.