Suluhisho lako ni mimi!
Nitakujengea Shimo lisilo jaa maji taka! ( Ukipenda tutaandikishana endapo litaleta shida niwajibike)
Gharama za Shimo kwa maeneo yenye unyevu kwa wakazi wa Dsm ni Tsh 1,400,000 na Mikoani nakufata kwa Tsh 1,600,000
Gharama za Shimo kwa maeneo makavu yasiyo na unyevu kwa Wakazi Wa Dsm ni Tsh 1,200,000 na mikoani nakufata kwa Tsh 1,400,000
Gharama hizi ni mjumuisho wa Gharama zote ufundi na material...Nakukabidhi shimo tayari kwa matumizi
0789005562
Safarini Dodoma