Shilingi ya Tanzania yazidi kushuka thamani

Shilingi ya Tanzania yazidi kushuka thamani

Koryo2

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
2,056
Reaction score
2,523
Katika siku za karibuni shillingi ya Tanzania imezidi kushuka thamani dhidi ya dollar za Kimarekani. Juzi juzi shillingiilikuwa inabadishwa 2230 kwa dollar moja ya Kimarekani kwa kiwango cha Benki Kuu ya Tanzania.

Leo hii shillingi 2246 ndiyo sawa na dollar moja ya Kimarekani wakati tunaambiwa uchumi wetu unakuwa kwa kasi ya ajabu.

Tunaelezwa kuwa tunashika namba tatu katika Afrika kwa ukuaji wa uchumi. Tunaumia sana hasa Wazazi wanaosomesha watoto wao nje ya Tanzania.

Nauliza kuna tatizo gani mpaka hali inatokea?.
 
Katika siku za karibuni shillingi ya Tanzania imezidi kushuka thamani dhidi ya dollar za Kimarekani. Juzi juzi shillingiilikuwa inabadishwa 2230 kwa dollar moja ya Kimarekani kwa kiwango cha Benki Kuu ya Tanzania. Leo hii shillingi 2246 ndiyo sawa na dollar moja ya Kimarekani wakati tunaambiwa uchumi wetu unakuwa kwa kasi ya ajabu.Tunaelezwa kuwa tunashika namba tatu katika Afrika kwa ukuaji wa uchumi. Tunaumia sana hasa Wazazi wanaosomesha watoto wao nje ya Tanzania. Nauliza kuna tatizo gani mpaka hali inatokea?.
Ikitoka ripoti ya makinikia itashuka mpaka elfu tatu
 
Inauma sana hususan kwa wanunuz wa bidhaa za nje kutoka mataifa yote duniani inauma sana hali inavyozidi
 
Apo dollar ndo imepanda na siyo kwamba shilingi imeshuka

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo!
Screenshot_20170831-145646.png
 
Back
Top Bottom